NakaziaMimi nakushauri tu pambana mwenyewe kaka, tafuta ata mtaji mdogo tu anza nao. Hizi microfinance mikopo unapata ila riba zao ni ndefu, hazitakusaidia kugrow, utakachokuwa unapata kama faida unawarudishia wao. Nakushauri waza kukopa ukiwa tyar na biashara ambayo unaiamini kopa kuiendeleza, usikope kuanza.
Sure...sure.....sureMimi nakushauri tu pambana mwenyewe kaka, tafuta ata mtaji mdogo tu anza nao. Hizi microfinance mikopo unapata ila riba zao ni ndefu, hazitakusaidia kugrow, utakachokuwa unapata kama faida unawarudishia wao. Nakushauri waza kukopa ukiwa tyar na biashara ambayo unaiamini kopa kuiendeleza, usikope kuanza.
Mkuu una ndoto ya kufungua biashara ganiHabari wakuu,
Mimi ni kijana mpambanaji, ndio naanza maisha ya utafutaji wa ridhki kiukweli sina asseti yeyote ya maana labda kitanda, godoro, feni na pasi ndo nilivyonavyo.
Naomba kuuliza kuwa ni microfinance ipi au taasisi ipi inaweza kunipatia mkopo wa riba nafuu kwa ajili ya kufanya biashara.
Maana nimekwama wakuu.
Mh mkuu ebu eleza zaidi. Kwamba namba ya nida tu napata mkopo vp ni mpaka kufika ofisini au hata kwa online je kuna pre-cost zozote kabla ya kupokea huo mkopoMKOPO CHAPU CHAPU [emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387]
CHAMPIONS INVESTIMATE CO-ORPERATION TUNATOA HUDUMA ZA KIFEDHA KWA RIBA YA ASILIMIA 20,,
[emoji419]TUNATOA HUDUMA KWA WATU BINAFSI,,WAKULIMA WAAJIRIWA SEKTA BINAFSI NA SERIKALI
Je[emoji779]UNATAKA MKOPO NJOO UJIPATIE FEDHA TASLIMU KUANZIA LAKI MOJA MPAKA MILIONI 1
DHAMANA NAMBA YA NIDA, PASPOTI AU LESSENI YA BIASHARA
MAREJESHO NI KWA MWEZI KUANZIA MIEZI 2 MPAKA MIEZ 12
MAWASILIANO:0693723696
[emoji419][emoji419] NB KUONDOA WIMBI LA UTAPERI KABLA YA KUHUDUMIWA NA WATEJA WETU HAKIKISHA,, UNATUMIWA CHETI CHA USAJILI WA CHAMPIONS INVESTMATE CO-ORPERATION [emoji1666][emoji1666]
Muda si mrefu kuna mtu hapa ataanza kuliaMh mkuu ebu eleza zaidi. Kwamba namba ya nida tu napata mkopo vp ni mpaka kufika ofisini au hata kwa online je kuna pre-cost zozote kabla ya kupokea huo mkopo
kweli kabisa,vya bure ni gharamaHahaha kuna mtu sasa hivi atalizwa hapa.
HeheMKOPO CHAPU CHAPU [emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387]
CHAMPIONS INVESTIMATE CO-ORPERATION TUNATOA HUDUMA ZA KIFEDHA KWA RIBA YA ASILIMIA 20,,
[emoji419]TUNATOA HUDUMA KWA WATU BINAFSI,,WAKULIMA WAAJIRIWA SEKTA BINAFSI NA SERIKALI
Je[emoji779]UNATAKA MKOPO NJOO UJIPATIE FEDHA TASLIMU KUANZIA LAKI MOJA MPAKA MILIONI 1
DHAMANA NAMBA YA NIDA, PASPOTI AU LESSENI YA BIASHARA
MAREJESHO NI KWA MWEZI KUANZIA MIEZI 2 MPAKA MIEZ 12
MAWASILIANO:0693723696
[emoji419][emoji419] NB KUONDOA WIMBI LA UTAPERI KABLA YA KUHUDUMIWA NA WATEJA WETU HAKIKISHA,, UNATUMIWA CHETI CHA USAJILI WA CHAMPIONS INVESTMATE CO-ORPERATION [emoji1666][emoji1666]
Me mwenyewe nashangaa, yaani kampuni isiwe hata na graphics zake za matangazo pamoja na ofisi zake maalum, acheni uhuni jamani dhuluma mbaya mtakuja kuuawaMKOPO CHAPU CHAPU [emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387]
CHAMPIONS INVESTIMATE CO-ORPERATION TUNATOA HUDUMA ZA KIFEDHA KWA RIBA YA ASILIMIA 20,,
[emoji419]TUNATOA HUDUMA KWA WATU BINAFSI,,WAKULIMA WAAJIRIWA SEKTA BINAFSI NA SERIKALI
Je[emoji779]UNATAKA MKOPO NJOO UJIPATIE FEDHA TASLIMU KUANZIA LAKI MOJA MPAKA MILIONI 1
DHAMANA NAMBA YA NIDA, PASPOTI AU LESSENI YA BIASHARA
MAREJESHO NI KWA MWEZI KUANZIA MIEZI 2 MPAKA MIEZ 12
MAWASILIANO:0693723696
[emoji419][emoji419] NB KUONDOA WIMBI LA UTAPERI KABLA YA KUHUDUMIWA NA WATEJA WETU HAKIKISHA,, UNATUMIWA CHETI CHA USAJILI WA CHAMPIONS INVESTMATE CO-ORPERATION [emoji1666][emoji1666]
Habari mkuu, huwa sina kawaida ya kubeza michango ya watu humu JF lakini mbona hili tangazo lako lina walakini?MKOPO CHAPU CHAPU [emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387]
CHAMPIONS INVESTIMATE CO-ORPERATION TUNATOA HUDUMA ZA KIFEDHA KWA RIBA YA ASILIMIA 20,,
[emoji419]TUNATOA HUDUMA KWA WATU BINAFSI,,WAKULIMA WAAJIRIWA SEKTA BINAFSI NA SERIKALI
Je[emoji779]UNATAKA MKOPO NJOO UJIPATIE FEDHA TASLIMU KUANZIA LAKI MOJA MPAKA MILIONI 1
DHAMANA NAMBA YA NIDA, PASPOTI AU LESSENI YA BIASHARA
MAREJESHO NI KWA MWEZI KUANZIA MIEZI 2 MPAKA MIEZ 12
MAWASILIANO:0693723696
[emoji419][emoji419] NB KUONDOA WIMBI LA UTAPERI KABLA YA KUHUDUMIWA NA WATEJA WETU HAKIKISHA,, UNATUMIWA CHETI CHA USAJILI WA CHAMPIONS INVESTMATE CO-ORPERATION [emoji1666][emoji1666]
And here we goMKOPO CHAPU CHAPU [emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387][emoji387]
CHAMPIONS INVESTIMATE CO-ORPERATION TUNATOA HUDUMA ZA KIFEDHA KWA RIBA YA ASILIMIA 20,,
[emoji419]TUNATOA HUDUMA KWA WATU BINAFSI,,WAKULIMA WAAJIRIWA SEKTA BINAFSI NA SERIKALI
Je[emoji779]UNATAKA MKOPO NJOO UJIPATIE FEDHA TASLIMU KUANZIA LAKI MOJA MPAKA MILIONI 1
DHAMANA NAMBA YA NIDA, PASPOTI AU LESSENI YA BIASHARA
MAREJESHO NI KWA MWEZI KUANZIA MIEZI 2 MPAKA MIEZ 12
MAWASILIANO:0693723696
[emoji419][emoji419] NB KUONDOA WIMBI LA UTAPERI KABLA YA KUHUDUMIWA NA WATEJA WETU HAKIKISHA,, UNATUMIWA CHETI CHA USAJILI WA CHAMPIONS INVESTMATE CO-ORPERATION [emoji1666][emoji1666]