Ni wapi nitampata specialist wa magonjwa ya ngozi?

Fundi mahiri wa ujenzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2012
Posts
4,159
Reaction score
2,844
Mwanangu anatatizo la ugonjwa wa ngozi. Ametoka vipele kama vya tetekuwanga . Vilianza mabegani naona sasa vinasambaa mwili mzima. Vinavimba kama uvimbe wa mtu aliungua na moto baadas vinapasuka na kutoa majimaji.

Kila dawa anazopewa naona hazisaidii. Amechomaa sindano naona nazo hakuna kitu.msaada wa anaemjua specialist wa ngozi anaeweza kumtibu mwanangu.

Nipo Dar es salaam
 
Pole, ila nadhani ingekuwa rahisi na busara zaidi kama pia ungesema uko wapi, sabu yeyote yule aliyeko kwenye hii dunia anaweza soma, ila ninaamini ni wachache sana watakuwa na uwezo wa kutabiri ulipo ili pengine wakutajie hao maspecialists wa magonjwa ya ngozi walio karibu nawe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napatikana Daresalaam
 
Sipo Dar na pia hakuna specialist ninayemfahamu personally, ila ninachokifahamu ni kuwa ukienda hospitali yoyote ile angalau ya kuanzia ngazi ya wilaya unaweza kupata dermatologist, pia private hospital kubwa nyingi zina dermatologists, kikubwa achana na dispensaries.
Nadhani utapata unaweza pata wadau walioko Dar wakakutajia hospitali kwa majina na sehemu zilipo.
Napatikana Daresalaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kairuki Dada kuna kila aina ya daktari,wa macho,ngozi,kifua,ubongo,yaan kila haina ya dakitar yupo,Mimi niliungua ugonjwa wa ngozi yaani nilipata vipele vidogo kila kona ya mwili,nikaamua kwenda kairuki nilitibiwa baada ya wiki tu nikapona,ijumamosi tu ya Jana nimetoka pale naumwa kifua,nimetembea kila hospital lakini nimefika Jana tubpale nikapimwa na tatizo likaonekana kesho naenda kuchukua dawa kwani dawa zangu zilikuwa hazijafika garani.ONYO JIANDAE NA GARAMA ZA PALE HASA WATOTO SIO MCHEZO ILA MWANAO ATAPONA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeenda manyara regional hospita hawana dermatologist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…