Ni wapi nitapata huduma ya kupima DNA na ni bei gani?

Ni wapi nitapata huduma ya kupima DNA na ni bei gani?

Patrick2000

Member
Joined
May 29, 2021
Posts
10
Reaction score
15
Habari ya muda huu wadau, nawezaje kupata huduma ya kupima DNA ni wapi ntapata huduma na ni bei gani?
 
Habari ya muda huu wadau,nawezaje kupata huduma ya kupima DNA ni wapi ntapata huduma na ni bei gani??
Kwanza itakubidi upitie mahakamani/ mwanasheria, then baada ya hapo utaenda mamlaka ya maabara ya mkemia mkuu wa serikali utapata hiyo huduma.
 
Daaa hakuna mwenye uhakika kama mtoto n wake ..kwa Africa waschana wengi sio waaminifu hata katika ndoa maana mkemia amewahi toa ripoti official kwamba weng wanaopima DNA watoto sio wao....NAUNGA MKONO HOJA FATA TARATIBU KAPIME.
 
Habari ya muda huu wadau,nawezaje kupata huduma ya kupima DNA ni wapi ntapata huduma na ni bei gani??
Utaratibu ni kuwa wanaopima ni ofisi ya mkemia mkuu wa serikali na kuna fomu zinatakiwa kujazwa za wa husika na lazima zipitishwe na mwanasheria kila watu wawili nikama 400000 unasubiri baada ya muda then majibu yanakuwa tayari
 
Process ndefu sana.

Hadi mkemia mkuu wa Inchi.
 
Back
Top Bottom