Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,292
Wasalaam Wana jf,nahitaji kujua kilimo Cha hizo Nazi fupi Kama zinakomaa au Ni za kuliwa madafu tu ?
Na je Ni wapi kwa hapa dar nitapata Miche na bei gani?
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Na je Ni wapi kwa hapa dar nitapata Miche na bei gani?
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app