kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,304
apana aisee kwa mfano mimi na mama yake ni weusi tii mtoto kazaliwa ni mweupe hatari anakaribia na ushombe shombe kabisa hapo ipoje?Mi siwezi pima hyo kitu
Itauma sana kufikiri mtoto si wako afu waenda na unakuta ni wako pure itakuuuma sana na hata huyo mtoto akijua atamind sana
Mama yake pia itamuuma maana itaonesha humuamini
Sio lazima sisi kama baba tufanane na hao watoto
Kuna topic moja ya heredity kwenye biology ya o level, ni theory za Dr. Mendel. Soma kidogo itakusaidia kujua undani wa huo mfano.apana aisee kwa mfano mimi na mama yake ni weusi tii mtoto kazaliwa ni mweupe hatari anakaribia na ushombe shombe kabisa hapo ipoje?
Shida ni kulea mtoto asiye wako na sio mtoto kulelewa na Baba asiye wake.Kwa mapenzi waliyonipa wazazi wangu, hata leo hii niambiwe huyu sio biological father wangu, sitaacha kumpenda. Hakulala wakati ninaumwa, alihakikisha nimekula, nimevaa, nimekwenda shule, na anafahari kuwambia jamaa ndugu na marafiki huyu ni binti yangu.
[/QUOTE]Tanzania they complicate too much, Mimi nilituma sample UK na wakaniletea Majibu ya uhakika. Watakuuliza tu kama waitaji majibu ya peace of mind au yanayotambulika kisheria na documentation!
QUOTE="renyo, post: 16309310, member: 147416"]Hello pipo, naomba kujua iwapo Tanzania kuna kipimo cha DNA. Na je ni bei gani!!?
Hawa watoto nataka nikawapime, coz simwelewi wife hasa huyu mtoto wa mwisho, nlikuwa masomoni kwa mda sasa mh, nahisi kama nilisaidiwa hapa. [emoji84]
Mkuu heshima yako,naomba kuuliza hizo sample ulituma vipi?? utaratibu unakuwaje na gharama za vipimo kwa huko U.K zipo vipi? je kuna gharama za kusafirisha hizo samples
Tafadhali naomba ufafanuzi-nina shida na hii kitu sana
Za jion Mkuu. Naomba Cntact za hao jamaaTanzania they complicate too much, Mimi nilituma sample UK na wakaniletea Majibu ya uhakika. Watakuuliza tu kama waitaji majibu ya peace of mind au yanayotambulika kisheria na documentation!
QUOTE="renyo, post: 16309310, member: 147416"]Hello pipo, naomba kujua iwapo Tanzania kuna kipimo cha DNA. Na je ni bei gani!!?
Hawa watoto nataka nikawapime, coz simwelewi wife hasa huyu mtoto wa mwisho, nlikuwa masomoni kwa mda sasa mh, nahisi kama nilisaidiwa hapa. [emoji84]