Ni wapi ntauza iriki yangu?

mdeki

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
3,299
Reaction score
475
Wadau nina iriki natafuta soko kwa anayehitaji

"To know the enemy is half the victory"
 
Wadau nina iriki natafuta soko kwa anayehitaji

"To know the enemy is half the victory"


Naomba ubadili isomeke "iliki" badaya ya "iriki".
 
Taja bei mkuu kilo sh ngapi?na ya wapi?maana kuna ya green pia
 
Naomba ubadili isomeke "iliki" badaya ya "iriki".
Asante mkuu mi nashida sana na hizi R&L


"To know the enemy is half the victory"
 
Taja bei mkuu kilo sh ngapi?na ya wapi?maana kuna ya green pia

Kilo moja nauza kwa 25,000/= mkuu unahitaji kilo ngapi hii ni ya ugweno mkuu

"To know the enemy is half the victory"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…