Pre GE2025 Ni wapi rais Samia anapata pesa za kugawagawa?

Pre GE2025 Ni wapi rais Samia anapata pesa za kugawagawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Mara katoa hela yake kagawa bodaboda za bilioni 64.
Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
 
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Mtoa rushwa hafai kabisa wote tumpinge kwa umoja wetu
 
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Mkuu hizo ni kodi zetu anachota tu hapo hazina.
 
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Mamlaka aliyo pewa na katiba ya mwaka 1977 yanakufanya ujiulize mwenyewe na kujijibu mwenyewe na ukaishia hapo.
 
Sisiem wajanja sana,mama yao ameamua kuja na staili ya kuwapa rushwa viongozi wa dini maana sisiem wanajua hao watu Wana ushawishi na Wana wafuasi wengi sana wanaowasikiliza huko kwenye vilinge vya Ibada.

Si wanajua mama yao nyanya mbovu hauziki kwa wananchi alafu tunakaribia uchaguzi kesho kutwa tu hapo.

so,wameamua kuja na huo mkakati..akili mtu wangu.
 
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Hizo ni hela za mboga tu, hahahaa, kumbuka Rais akiongea tu anapewa posho

Vilevile wewe ukisema hallow makampuni ya simu yanapata pesa, je kwa watakao sema hallow Tanzania nzima makampuni ya simu yanaingiza kiasi gani?
 
Mleta uzi,wewe kamba yako haijazifikia hizo hela za "mama"?Una bahati mbaya sana hadi keshokutwa asubuhi.
 
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Dubai
 
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Kodi tunayolipa imefanyiwa utaalam wa namna ya kuikusanya, inapatikana kwa wingi sana.

Pia Rais akiwa ndio mkuu wa nchi analo fungu kubwa la kwake mwenyewe, sawa na alivyokuwa akigawa JPM huko njiani.
 
Kuboresha huduma na kujenga vituo vya afya, kuna pesa zake maalum kwa ajili ya masuala hayo na yanafanyika karibu nchi nzima muda huu.

Umeandika uzi wa malalamiko ambayo hayakusaidii kwa namna yoyote ile.
 
Zilitoka huko zilipotoka 1.5 trillion zilizomuondoa CAG Assad Ofisini.
 
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
1. Anachotewa Hazina kama njugu tu!
2. Mikopo huwa ni kwa ajili ya migawo tu lengo ni 2025
3. Waarabu wamepania kulinunua litanganyika na mambuga yake, madini yake, maji yake, milima yake na kila kitu. Wanampa kila kitu! mtashuhudia chopper mpya zinaruka kwenye kampeni subirini! Kuna chawa makandarasi walisetiwa wakaivaa ni uwongo. Mwendo wa yale mapikipiki, mabaiskeli, magari mapya polisi SUBIRINI. Tanganyika Gulioni!
 
Back
Top Bottom