Pre GE2025 Ni wapi rais Samia anapata pesa za kugawagawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umemaliza Kila kitu
 
Ni fedha zetu wanatumia hovyo kisiasa.
 
Watakuelewa? Nchi hii ni ya hovyo sana!
 
Lucas Mwashambwa ukuje huku
 
Habari ya kugawa pesa, tena cash ilianza awamu ya tano na inaendelea.
Pesa za uma pia zilibinafsishwa kwa Rais kuanzia wakati huo huo.
Unatakiwa ujiulize na kutafakari haya kwanza kama msingi wa mengine yotokanayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…