Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,762
Nadhani na yeye atakuwa amepatwa na kizunguzungu hadi akapotea.Huyu mwanadada wa Bongo Fleva aliyewika kwa wimbo wake wa kizunguzungu,upepo,umependeza,nashukuru umerudi yuko wapi ?
Kwa mwenye kufahamu alipo na anafanya nini aseme nimemiss sana uwepo wake katika muziki wa bongo fleva.