APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Uzi huu unalenga kuwasaidia vijana ambao hawajui wapite wapi na wapi ili wafikie ndoto zao, jieleze kwa kina toka mwanzo ulipoanza haso zako, kipindi ambacho ulikuwa huna hata pesa ya kula, haso ulizopitia, huku ukionyesha njia na biashara unayofanya sasa, changamoto zake, ilikuwasaidia wengi toa ukweli wako, haina maana ya kutudanganya maana najua uzi huu utawasaidia mamia ya vijana Tanzania.