lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Marlow besta
Diamond na Zari
Flora na h baba
nakubaliana nawe mkuu
Kwakweli Marlaw na Besta wameonesha mfano mzuri.Wameoana 2011 mwezi wa Tatu na mpaka sasa wamebarikiwa kupata watoto wawili wa kiume ambao ni Starence na Erence ambaye kazaliwa mwezi wa nne mwishoni.
Aly kiba na .......
Sina kumbukumbu sana kuhusu hili, hivi ni wasanii gani hapa bongo walioana pamoja na wanaishi pamoja mpaka sasa?
Anayejua atujuze.
loading...