Ni watanzania wangapi wanaofundisha soka nchi za nje ?

Kwa kifupi ni hakuna.
Na sababu kuu nafikiri wengi wameridhika hapahapa nyumbani kwakuwa katika ukanda wetu wa EA sisi ndio tunaolipa vizuri zaidi kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji.
Timu zetu zina uwezo wa kumsajili kocha na top player yoyote katika ukanda huu lakini majirani hawana msuli wa kumnyakua top player katika ligi yetu.
 
Wakafundishe wapi kwa short course zetu za wiki mbili mbili?
Burundi wametengeneza mfumo mzuri kufundisha makocha. Wanaenda Sana Belgium na France kwenye kozi za kuekeweka na muda wa kutosha. Sio hizi za wakufunzi was CAF waliojichokea.
Aiseeee
 
Rwanda na Burundi Kuna Kiingereza!?Mimi nafikiti kuna shida somewhere
 
Kwani huyu MWINYI wa yanga si mzanzibari alikua anafundisha huko congo sasa karudi? Asiwachanganye na mbwembwe zake za kuongea kama Werason ni Mtanzania fyoko yule wa mkunazini
 
Mimi nafundisha timu daraja la kwanza huku Turkey
 
Tunaambiwa Matola anatakiwa nje ya nchi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…