tyc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,179
- 2,971
Kwa kifupi ni hakuna.
Na sababu kuu nafikiri wengi wameridhika hapahapa nyumbani kwakuwa katika ukanda wetu wa EA sisi ndio tunaolipa vizuri zaidi kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji.
Timu zetu zina uwezo wa kumsajili kocha na top player yoyote katika ukanda huu lakini majirani hawana msuli wa kumnyakua top player katika ligi yetu.
Na sababu kuu nafikiri wengi wameridhika hapahapa nyumbani kwakuwa katika ukanda wetu wa EA sisi ndio tunaolipa vizuri zaidi kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji.
Timu zetu zina uwezo wa kumsajili kocha na top player yoyote katika ukanda huu lakini majirani hawana msuli wa kumnyakua top player katika ligi yetu.