Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Dah.Ume nikumbusha karoline leavitt alivyo pata kazi ya kuwa msemaji wa trump.
Umenisaidia kumtaja nilitaka kumtaja nikaona itakuwa controversial.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah.Ume nikumbusha karoline leavitt alivyo pata kazi ya kuwa msemaji wa trump.
Duh!...hii kali...Kuna watu watabisha kuwa Google au Microsoft sio Mali ya Ikulu ya Marekani, but mind you uratibu wa shughuli zote za Marekani mpaka biashara na maisha ya mtu mmoja mmoja hufanyika state house
BinadamuEti wakuu, leo wakati ninatazama Al Jazeera ghafla ikaja akili mwangu kujiuliza, hivi Ikulu za nchi kama Marekani, Russia, China au Uingereza kuna watu wa aina gani kule wanaajiriwa??
Kwa maana wale jamaa, habari za dunia nzima wanazo, brands zote kubwa duniani ni zao (Google, Microsoft, Meta).
Mambo yanayoendelea katika Ikulu za nchi zote duniani wanajua.
Kuna watu watabisha kuwa Google au Microsoft sio Mali ya Ikulu ya Marekani, but mind you uratibu wa shughuli zote za Marekani mpaka biashara na maisha ya mtu mmoja mmoja hufanyika state house.
State house ikiwa mbovu, tegemea nchi mbovu.
Ni kina nani wanafanya kazi Ikulu za Marekani, Russia na China??
Wabongo bana bora umewajibi eti wanaamin ni watu wanaakili sana kitu ambacho sioWatu wa kawaida tu na sio kweli kuwa wanafahamu yote duniani
Wewe unaona Kremlin au White House kuna vilaza kule. Wale wanajua mpaka ndani ya Ikulu zingine wanapanga nini duniani kote, sasa hao ni watu wa kawaida??Wabongo bana bora umewajibi eti wanaamin ni watu wanaakili sana kitu ambacho sio
Sera zote za nchi za kijamii mpaka kibiashara zinaanzia ofisi kuu ya Taifa na wao ndio wanaoweza kuzibadili, kubali au kataa.Duh!...hii kali...
Kama kuwa na mfumo thabiti na imara ni suala rahisi, mbona Burundi hawana??Ukiwa na mfumo thabiti na imara basi utapata taarifa nyingi na sahihi,
Hizo nchi hawaajiri binadamu wa kawaida wengi wao ni kutoka mars au multiverse universeEti wakuu, leo wakati ninatazama Al Jazeera ghafla ikaja akili mwangu kujiuliza, hivi Ikulu za nchi kama Marekani, Russia, China au Uingereza kuna watu wa aina gani kule wanaajiriwa??
Kwa maana wale jamaa, habari za dunia nzima wanazo, brands zote kubwa duniani ni zao (Google, Microsoft, Meta).
Mambo yanayoendelea katika Ikulu za nchi zote duniani wanajua.
Kuna watu watabisha kuwa Google au Microsoft sio Mali ya Ikulu ya Marekani, but mind you uratibu wa shughuli zote za Marekani mpaka biashara na maisha ya mtu mmoja mmoja hufanyika state house.
State house ikiwa mbovu, tegemea nchi mbovu.
Ni kina nani wanafanya kazi Ikulu za Marekani, Russia na China??
Kuna watu wanabisha humu mkuu. Wanadhani White House wanaingizana ingizana tu eti kwa kuwa ni mtoto wa DPP au RPC Mstaafu..Hizo nchi hawaajiri binadamu wa kawaida wengi wao ni kutoka mars au multiverse universe
Mfano marekani inalindwa na Avengers
Anachojua hiyo mifumo ipo jengo jeupe 😄😄Ila wewe jamaa akili yako imejaa illusions sana. Hao ni watu wa kawaida sana tu, hata wewe unaweza kuajiriwa Ikulu. Kuhusu kupata taarifa hilo ni suala la mifumo ya usalama waliyonayo. Ukiwa na mfumo thabiti na imara basi utapata taarifa nyingi na sahihi, na mfumo wako ukiwa dhaifu basi kinyume chake
Hata wakija wawavulie bukta wako tayari eti ellien dah hz movie kwa shemegWalishatutengeneza kiakili...Kwa Sasa ni kuabudu TU na kiwaona sio wa kawaida😄😄😄
Umeuliza swali badala usubiri ujibiwe unajijibu mwenyewe! Taarifa za Korea ya Kaskazini Marekani anaweza kuzipata kupitia Korea ya Kusini kwa sababu ni washirika.Hakuna mtu wa kawaida White House mkuu. Unataka kuniambia Marekani hawajui kinachoendelea Ikulu ya South Afrika au Brazil.
Kabla ya Rais wa North Korea kwenda Russia kwa ziara ya kikazi, Marekani alilisema hilo two weeks before.
White House labda kuna aliens mule wanafanya kazi aisee..
Kama huku kwetu kwakwel ni viazi vibovu balaaa vimejaa kila sehemu nyetiHuko hawaajiri viazi
Ova
Korea Kusini ni Jimbo la Marekani, kama ilivyo Israel kule middle east..Umeuliza swali badala usubiri ujibiwe unajijibu mwenyewe! Taarifa za Korea ya Kaskazini Marekani anaweza kuzipata kupitia Korea ya Kusini kwa sababu ni washirika.
Huku kwetu wanaweza kumuajiriKama huku kwetu kwakwel ni viazi vibovu balaaa vimejaa kila sehemu nyeti