Ni watu wa aina gani wanaofanya kazi Ikulu ya Marekani au Urusi??

Binadamu
 
Wabongo bana bora umewajibi eti wanaamin ni watu wanaakili sana kitu ambacho sio
Wewe unaona Kremlin au White House kuna vilaza kule. Wale wanajua mpaka ndani ya Ikulu zingine wanapanga nini duniani kote, sasa hao ni watu wa kawaida??
 
Duh!...hii kali...
Sera zote za nchi za kijamii mpaka kibiashara zinaanzia ofisi kuu ya Taifa na wao ndio wanaoweza kuzibadili, kubali au kataa.

Bila kuwa na sera bora sahau kuwa na taasisi kama Microsoft au Boeing
 
Hizo nchi hawaajiri binadamu wa kawaida wengi wao ni kutoka mars au multiverse universe
Mfano marekani inalindwa na Avengers
 
Hizo nchi hawaajiri binadamu wa kawaida wengi wao ni kutoka mars au multiverse universe
Mfano marekani inalindwa na Avengers
Kuna watu wanabisha humu mkuu. Wanadhani White House wanaingizana ingizana tu eti kwa kuwa ni mtoto wa DPP au RPC Mstaafu..
 
Anachojua hiyo mifumo ipo jengo jeupe 😄😄
 
Intel Test
Psycho test
Phizico Test
Bg Check up
Polygraph Test....
 
Umeuliza swali badala usubiri ujibiwe unajijibu mwenyewe! Taarifa za Korea ya Kaskazini Marekani anaweza kuzipata kupitia Korea ya Kusini kwa sababu ni washirika.
 
Umeuliza swali badala usubiri ujibiwe unajijibu mwenyewe! Taarifa za Korea ya Kaskazini Marekani anaweza kuzipata kupitia Korea ya Kusini kwa sababu ni washirika.
Korea Kusini ni Jimbo la Marekani, kama ilivyo Israel kule middle east..
 
Kweli tembea uone.
Mtu yupo mwatulole au mbagala anazungumzia mambo ya W. House, na bila aibu unasema wanaajiri watu gani.

Mkuu hao ni watu wa kawaida tu( huoni trump ni kichaa aliyeshika madaraka) hizo nchi zina ujinga mwingi sana sema tu huwezi kuyajua yote.

Ni kama vile mtu aliyeko huko china au japan akisikia Afrika anajua kila sehemu ni mapori na mistu.
 
Kwa upeo finyu wa mleta mada anadhani kuwa nujia ya kupatia habari ni Google na alizozitaja pekee.

Nendab kasome kuhusu "intelligence and information gathering in USA" làbda utapanuwa upeo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…