Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Habari zimfikie mzabzabWapumbavu kweli....wachezaji wageni wanaathri vip national timu ....kwanini wachezaji wazawa wasitoke nje kama kweli wanauwezo .....maisha ya sasa yanataka kujituma kwa bidii sio kubebwa ...wazawa hawajitumi ...Leo hii wachezaji wageni hawafiki hata asilimia 10 unasema tupunguze ......udwanzi tu nadhani imefika hatua tulete hata wachambuzi wa kigeni ili kujenga hoja
Kwa miwa watz wanaangalia boli kwenye tz basi wanadhani wanajua boli au football development.Habari zimfikie mzabzab
Uko vizuri, na hata ukiangalia wachezaji wa Tanzania wenye uwezo wanawapiga benchi wageni kibao. Wachezaji wa Tanzania wajitume.Wapumbavu kweli....wachezaji wageni wanaathri vip national timu ....kwanini wachezaji wazawa wasitoke nje kama kweli wanauwezo .....maisha ya sasa yanataka kujituma kwa bidii sio kubebwa ...wazawa hawajitumi ...Leo hii wachezaji wageni hawafiki hata asilimia 10 unasema tupunguze ......udwanzi tu nadhani imefika hatua tulete hata wachambuzi wa kigeni ili kujenga hoja
Yeah wajipange upya na kuangalia mbele