chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
thimba leo walikuwa pungufu nini mbona walikuwa wanakimbizwa namna ilee.
kama sio penat ya mchongo wangeeleza vyote.
kama sio penat ya mchongo wangeeleza vyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo nusu kivipi kwa maana wachezaji 6 tuYaani Simba ni ya kushinda 3-2 na timu ipo nusu kweli???
Gwambina haipo tena mkuu[emoji3][emoji3]Chama ni mchezaji slow sana km konokono hafai kuendelea kucheza Simba aende zake hata gwambina
Ungeomba kazi wewe ya ukocha basiHajaumia huyu kocha ni hajui mpira tukikutana na kina Casablanca tutachezea hamsa kwa hichi kikosi
FactHii nchi ina watu wajinga sana huyo chama mnaemshupalia shingo atacheza simba milele? lazima tujifunze kuishi bila huyo chama.
amini mashabiki wengi Tz ni mashabiki mandazi ndo maana yule kipa wa Azam alisema kwamba mashabiki wengi wa Tz ni wapenda mpira lakin sio wavumilivuRage ana akili sana, sub anafanyia Messi, Mbape, Ronaldo ije kuwa huyo mwenye spidi ya konokono
KivipiGwambina haipo tena mkuu[emoji3][emoji3]
Simba ikiwa pungufu imewahi kuichapa Yanga mara kadhaa, mifano ipo tena wala sio zamani. Mpira ni mchezo wa makosa, unaweza ukawa pungufu na ukafanya makosa machache au yasiyo na madhara au mpinzani wako ashindwe kuyatumiaYaani Simba ni ya kushinda 3-2 na timu ipo nusu kweli???
Nikwambie kitu mkuu,ni timu mbovu tu ndio inayoshindwa kuifunga timu iliyo pungufu.Simba ikiwa pungufu imewahi kuichapa Yanga mara kadhaa, mifano ipo tena wala sio zamani. Mpira ni mchezo wa makosa, unaweza ukawa pungufu na ukafanya makosa machache au yasiyo na madhara au mpinzani wako ashindwe kuyatumia
Utajua hujui bloanguWapo nusu kivipi kwa maana wachezaji 6 tu
Kwa hiyo ni timu gani hiyo iliyoshindwa kulitumia gap kupata ushindi?Nikwambie kitu mkuu,ni timu mbovu tu ndio inayoshindwa kuifunga timu iliyo pungufu. Kwa kawaida timu inayojielewa lazima ilitumie hilo gap vizuri na ipate matokeo chanya.
Ni kwelisub imeleta goli
Tumeshinda ila sio kwa ushindi huo kwa timu iliyo pungufuKwa hiyo ni timu gani hiyo iliyoshindwa kulitumia gap kupata ushindi?
Timu imeshinda bila yeyeKocha kama anataka kubaki afanye kila analoweza aingie kwenye mfumo wa Chama.
Lakini kwa taabu, sisi sio wa kuomba mpira uisheTimu imeshinda bila yeye