Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Hapa niwe clear kabisa ntaongea reality bila upendeleo, !! Arsenal bado haipo fiti!!
Hebu noja tu tuwafanyie analysis mastriker na goalkeeper, Manchester united bado wanae de gea japo
hatujui kama ataondoka au lah, chelsea wanae coutois na man city wanae hart, Kwa Arsenal yule peter
cech tuliemjua hapo zamani sio huyu aliyenunuliwa maana kacheza chini ya kiwango na kama sijakosea
mourinho alishatambua perfomance yake imepungua akamwacha ajiendee arsenal, Tukija kwenye safu ya ushambuliaji
pale chelsea wanae diego costa pamoja na falcao( Japo falcao sio mzuri kivile ila ni mzuri kuliko giroud), Manchester
united wanae rooney na man city wanae aguero, ukija upande wa arsenal kina giroud, walcot na wilshere licha ya kupata majeruhi bado ni dhahiri na wazi ya kwamba arsenal bado haip fiti pia ukija hata kwa viungo kina wilshere nao ni majeraha kwa mara nyingi
Hebu noja tu tuwafanyie analysis mastriker na goalkeeper, Manchester united bado wanae de gea japo
hatujui kama ataondoka au lah, chelsea wanae coutois na man city wanae hart, Kwa Arsenal yule peter
cech tuliemjua hapo zamani sio huyu aliyenunuliwa maana kacheza chini ya kiwango na kama sijakosea
mourinho alishatambua perfomance yake imepungua akamwacha ajiendee arsenal, Tukija kwenye safu ya ushambuliaji
pale chelsea wanae diego costa pamoja na falcao( Japo falcao sio mzuri kivile ila ni mzuri kuliko giroud), Manchester
united wanae rooney na man city wanae aguero, ukija upande wa arsenal kina giroud, walcot na wilshere licha ya kupata majeruhi bado ni dhahiri na wazi ya kwamba arsenal bado haip fiti pia ukija hata kwa viungo kina wilshere nao ni majeraha kwa mara nyingi