Ni wazi kuwa baadhi ya Wabunge wamekosa sera au waliingia Bungeni bila kujua wajibu wao

Nguvu ya Nchi iko kwenye uchumi, na hapo mpaka sasa wameshindwa, sasa uokovu uko wapi?

Hakuna wokovu kabisa, ndiomana nauliza haya wanayo yaongea bungen ni kweli mmewatuma?
 
Nakupongeza kwa kufuatilia hilo bunge kibogoyo.

Ahsante, kuna wakati inabidi usikilize tuu. mfano mambo ya bajeti ni muhimu maana yanaweza kukupa mwanga ni aina gan ya biashara bajet husika imeweka.
 

Sina namba tulisha zisoma awamu iliyopita lakin, na wote tukili tumeelewa au?
 
Mkuu kwenye Siasa hakuna aliembishi kuolewa na mkubwa wake awe mke au mme. Hapo ndipo ninapoichukia Siasa!!
 
Wanamsifia unafiki tu. Ila subiri aje atoke madarakani, hakuna mtu ATADHARAULIWA na KUKEJELIWA Kama Magufuli.

Sasa hivi hata vyombo vya habari haviko huru kumkosoa
 
Hapo kwenye No. 5 Hamna jipya kwa sababu upinzani muhula wa kwanza walipiga kelele sana kuhusu hilo Nape ni kama karudia kwani mitano ya kwanza alikua wapi !!!???

Bunge hili ni kama Futuhi tu ya kina Braza K hamna Bunge humo [emoji849][emoji849][emoji849]
 

hana jipya kweli aisee, ila nimempa hongera kwa kigezo cha angalau ni hoja tunazotak zisikia. sio za miaka mingine kila wakati
 
Mkuu hilo la wabunge kutojua wajibu wao halijaanza leo, ndo maana unaona kuna mafudu tu yanafanyika pale bungeni.
 
Shamba la bwana Heri na mbuzi waliopo shambani ni wa bwana Heri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…