Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Man city na Yanga Afirika ni miongoni mwa timu zenye kiburi na jeuri katika ulimwengu wa Soka nchini Uingereza na Tanzania kwa ujumla.
Sasa hv utawala wao umefikia ukingoni kutokana na kupokea mfululizo wa vipigo kutoka kwa timu kama Bournemouth na Tabora United.
Taifa liiombee Yanga Afrika
Ukiburi na ujeuri wa Yanga na Man city ni upi?Man city na Yanga Afirika ni miongoni mwa timu zenye kiburi na jeuri katika ulimwengu wa Soka nchini Uingereza na Tanzania kwa ujumla.
Taifa lipi?Taifa liiombee Yanga Afirika
Yanga inafungwajeeeUkiburi na ujeuri wa Yanga na Man city ni upi?
Kile kipigo cha Azam na hichi kimeleta shida sehemu kichwani nakwambia.Kwa utawala upi
Ubuntu BOTHO
Sidhani kama harmonize alimaanisha Yanga haitofungwa.Yanga inafungwajeee
Okay nimekuelewa mkuuSidhani kama harmonize alimaanisha Yanga haitofungwa.
Kwamba harmonize hajui kwamba hakuna timu isiyofungwa duniani!
Huo ni wimbo tu kama nyimbo nyingine za mashabiki kuzipamba timu zao sidhani kama ni kiburi.
Moshii huoo moshi huoo nikiuona moyo unadunda tenaa🎶Yanga inafungwajeee
🤣🤣🤣🤭Moshii huoo moshi huoo nikiuona moyo unadunda tenaa🎶
Kachezea tena kwa brightonGamondi ni kocha wa kawaida sana ila aliikuta timu ipo kwenye high performance hakuna alichoongeza zaidi ya kula matunda aliyoyakuta.
Ila Guardiola yule ni mwamba usimu-underrate kwa mechi mbili tatu ni kawaida yake kusua sua mechi mechi chake ila baada ya hapo anaweza kushinda hata game 40 mfululizo
We Acha kuchanganya uchawi na Mpira koma kabisa! eti yanga na man city!akili Hana naeMan City na Yanga Afrika ni miongoni mwa timu zenye kiburi na jeuri katika ulimwengu wa Soka nchini Uingereza na Tanzania kwa ujumla.
Sasa hivi utawala wao umefikia ukingoni kutokana na kupokea mfululizo wa vipigo kutoka kwa timu kama Bournemouth na Tabora United.
Soma Pia: Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024
akili Hana nae ndondocha wa chitoholi huwezi imba wimbo kama ule km zinapanda freshSidhani kama harmonize alimaanisha Yanga haitofungwa.
Kwamba harmonize hajui kwamba hakuna timu isiyofungwa duniani!
Huo ni wimbo tu kama nyimbo nyingine za mashabiki kuzipamba timu zao sidhani kama ni kiburi.