Chadema wasikubali kabisa kuingia kwenye uchaguzi wa 2025 bila kauli yao ya no reforms no election,wakiingia watakuwa wajinga sana yatatokea tena ya uchaguz wa serikali za mitaa wa mwaka 2024,baada ya uchaguz wanaanza kutoa matamko ya ajabu ,apite Mbowe au Lisu no reforms no election wasiikiuke kabisa