Ibofwee
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 1,305
- 2,452
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No.4Ungemuweka na Collin Powel
Hakuna hata moja, wote walikuwa wanatetea maslahi ya USA. Why on earth would you like another foreign minister to be popular in Tanzania?1.Henry Kissinger
2.Madeline Albright
3.Christopher Warren
4.Collin Powell
5.Condolleezza Rice
6.John Kerry
7. Hillary Rodham Clinton
8.Rex Tillerson
9. Mike Pompeo
Yupi kati ya hao Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ni maarufu miongoni mwa Watanzania na unadhani ni maarufu kwa lipi?
Huyu alikuja kwenye msiba wa Mwalimu.Kwa wale wa kipindi changu tunamkumbuka na kumkubali Bi. Madeline Albright.
Pengine inategemea na umri wa wanaJF lakini kwa baadhi tuliobahatika kuviona vipindi vyote vya mawaziri Hawa hakuna anayeweza kumfikia Henry Kissinger....kwangu Mimi anayefuatia ni Condolleeza Rice...Hawa walikuwa ni wasomi....siyo wa mchezo mchezo1.Henry Kissinger
2.Madeline Albright
3.Christopher Warren
4.Collin Powell
5.Condolleezza Rice
6.John Kerry
7. Hillary Rodham Clinton
8.Rex Tillerson
9. Mike Pompeo
Yupi kati ya hao Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ni maarufu miongoni mwa Watanzania na unadhani ni maarufu kwa lipi?