Ni wiki tatu sasa msanii Harmonize hajatimiza ahadi ya gari ya 10M aliyomuahidi Shilole

Lazima utakuwa ulikuwa mwenyekiti wa kamati. Vinginevyo siamini ndugu yangu umeamua kuhamia kwenye ushilawadu... Vinginevyo ntahudhuria kwenye uzinduzi wa albam yako ya taarab...
 
ana chukua kwa yule mzungu wake.......ma hela ma randi you know.....
 
Wamakonde wakiongea kitu usiwaamini sana.
 
Anawasubiri waachane,sasa na wenyewe wamekaza safari hii hamna kuachana kwa hyo harmo ww lipa tuu deni lako
 
Kuna harusi moja DSM niliwahi kumuahidi Jamaa uwanja, sasa baada ya kunifuatilia sana nikamwambia uwanja wenyewe ni CCM kirumba kama utakupendeza, ahaahaa Jamaa akakata mawasiliano na mimi#Sipendagi kufuatiliwa ahadi
 
Hiyo kamati wamechemsha walitakiwa waiweke kimaandishi
Huyo mmakonde a sign na boss wake.
 
Pedeshee Harmonize mtoto wa Ndama.
 
Hahahahahahahhaahah... vyuma vimekaza mpk kwa wasanii
 
Ndalichako na Boss wake wenyewe kila siku wanatudanganya kuusu elimu bure..sembuse konde boy
 
Ustadhi Uchebe fanya kazi, pambana na ulofa wako
 
Wamakonde wamempandia na kumwambia kulikoni unatuacha sisi ndugu zako tunashindia udongo na mapera unakwenda mpa malaya pori milion 9?
Bora angewajengea hata madarasa manne kijijini kwao yangewasaidia wengi,kuliko kumnunulia MTU gari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…