Natamani Sana nikija kufika miaka kuanzia 40 niishi nnje ya dar kabisa, nataman nipate wilaya yenye Sifa zifiatazo:-
*maji Safi
*Umeme
*Ardhi yenye rutuba
*Vyakula vya kutosha
*Pawe panalimwa + ufugaji
*Panafikika kirahisi kutoka mikoa mingine
*Internet ya uhakika
Nawaza Sana kuhusu chato naskia pazuri sana