Ni wimbo gani wa Kibongo umeimbwa kwa Kiingereza tu?

Ni wimbo gani wa Kibongo umeimbwa kwa Kiingereza tu?

Kuna wimbo wa wasanii waliokua chini ya tippo chorus kapiga Steve rnb then ngwair,zahir zorro,baby boy na dataz nao wamo
Chorus " we don't give it up, we make it alright"
 
ile nyimbo ya wale jamaa wanaimba " na kupona huponi ng'oo" wametoa remix ya kingereza mwanzo mwisho
 
Qummkeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!

Hilo song Ninalo kwenye flash, Sasa kila nikijaribu kulisearch ili niangalie lyrics zake nauokosa. Nikiwaza kuulza humu JF sijui unaitwaje!!


Mkuu ubarikiwe sanaaaaaaaaaaa maninah!!!
bila shaka itakuwa sasa ni rahisi kwako kupata lyrics zake.
pamoja sana
 
Back
Top Bottom