Ni yapi mafanikio ya kocha mpya wa Simba?

Huyu kocha hana uzoefu wa soka la Afrika. Mapema Sana atafukuzwa Mwezi wa 12 tu baada ya mechi mbili tu
Hii kauli inaniachaga hoi sana, kwani Africa mpira unachezwa angani au ? [emoji23] .. na kama waafrika mna huo ubora mngechukua basi kombe la Dunia [emoji23][emoji23]
 
Hii kauli inaniachaga hoi sana, kwani Africa mpira unachezwa angani au ? [emoji23] .. na kama waafrika mna huo ubora mngechukua basi kombe la Dunia [emoji23][emoji23]
Njoo hapa kwanza
 
Wamepotea ........................njooni mteteeni kocha wenu huku
 

Muuza matikiti tu huyo.
 
Kupiga mateke viti vya Plastic na kumzuia Wawa kuchezea Simba
 
[emoji94].... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24

Anarudi anakuta Simba ina point 25

Anajiuliza Ligi ilisimama au???!![emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…