Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 604
- 218
Samahani najua mara nyingi watu wenye miili mikubwa hasa vitambi vikubwa wanakuwa na maumbile madogo. Je mwaume mwenye mwili mkubwa akipungua anaweza kuongeza maumbile yake au anatakiwa afanye nini ili awe na maumbili ya kulizisha mwili??? Kwa yeyote anayejua vyakula vya asili au mazoezi yanayo saidia kukuza uume kwa haraka na kunenepesha???
Sent using Jamii Forums mobile app
Sky Eclat wewe ni nurse siri hii unaijua muelekeze inbox, halafu inbox yako umeifunga kabisa no mesage, nitumie sms inbox nikwambie kituWanaume wote hapa
uko deep sana kwenye maswala ya health science sio elimu tu ya kawaida ya biologyMkuu huu unurse ulinipa qualifications? Heshimu career za watu.
Ni kutokana na maongezi ninayoongea na wateja wangu mimi ni mama ntilie wateja waxngu wengi waliingia darasaniuko deep sana kwenye maswala ya health science sio elimu tu ya kawaida ya biology
Sky Eclat njoo inbox sms nikujibuNi kutokana na maongezi ninayoongea na wateja wangu mimi ni mama ntilie wateja waxngu wengi waliingia darasani
Mmmh Bibi una vitukoNi kutokana na maongezi ninayoongea na wateja wangu mimi ni mama ntilie wateja waxngu wengi waliingia darasani
Inawezekana hata le mbebez hana kibamia eeh?Bonge mwenzangu, unakuwa mwoga?
Obviously kutokana na mafuta mengi ukikaa uume unaingia ndani na kuwa covered na nyama.
Lakini ngoma ikiamka misuli ikatuna kwenye full erection ndio inatoka sasa in all its might.
Acha kuwaza size ya uume wako ukiwa umelala. Its useless. We pambana kuhakikisha una uwezo wa kupata full erection.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umjibu kwani swali ameuliza yy ? Labda sema tu unashida nae nyingne aje inbox ila kwa uzi huu wala sio wake mwite inbox kwa jibu mwenye uzi wake...Sky Eclat njoo inbox sms nikujibu
Possibility hiyo ipo. Lakini ya mutuz seemed to thin to be true. But huwezi jua, it might suprise you ukiiona in all its might.
acheni kuhangaika Mola amekupeni kila Moja kwa sababu Maalum unaweza kupewa kubwa isifanye Kazi itakuwa na faida gani?Samahani najua mara nyingi watu wenye miili mikubwa hasa vitambi vikubwa wanakuwa na maumbile madogo. Je mwaume mwenye mwili mkubwa akipungua anaweza kuongeza maumbile yake au anatakiwa afanye nini ili awe na maumbili ya kulizisha mwili??? Kwa yeyote anayejua vyakula vya asili au mazoezi yanayo saidia kukuza uume kwa haraka na kunenepesha???
Sent using Jamii Forums mobile app
ππ³Umjibu kwani swali ameuliza yy ? Labda sema tu unashida nae nyingne aje inbox ila kwa uzi huu wala sio wake mwite inbox kwa jibu mwenye uzi wake...
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu wewe uume wako unamifupa??π