Ni yapi mahusiano ya mwili mkubwa na uume kuwa mdogo?

Man.. Size doesn't matter much.

Fanya mazoezi.. Narudia FANYA MAZOEZI HASWAAAAAA.

Fanya cardio pia fanya ya kujenga kidogo (ili ukaze hizo nyama, baada ya kupungua)

Ukifanya mazoezi UTAJIVUNIA UUME wako na uwezo wako wa kuutumia.

Asante na Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana jaman tumeuliza ili tujue kwasababu tukiangalia kwa umakini ubonge unatokana na kula kwa kupitiliza hivyo chakula king kina badilishwa na kuwa mafuta ambayo yanakwenda hifadhiwa kwenye matumbo na sehemu zingine. Kwa maana hiyo tukija hakuna mtu ambaye ni bonge au mwembamba bali tu kutokana na life style yetu lakn katka life syle yetu tumekuja ona kuwa watu mabonge wanakuwa na maumbile madogo ingawa kuna wengine wembemba na wanaumbile madogo ila weng wao watu wanene ndio wanapata hii tatzo sasa nlkuwa nataka kujua kama ukikonda je maumbile yako yataongezeka au yatabak vile vile
acheni kuhangaika Mola amekupeni kila Moja kwa sababu Maalum unaweza kupewa kubwa isifanye Kazi itakuwa na faida gani?

Tatizo lenu WA Africa lack of confidence ndio shida yenu wewe Leo u nataka kumuona Mola kama amekosea kukupa wewe kibamia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante ndugu yangu tunapiga mazoezi ingawa ni magumu ila kibishi tunaenda nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna article moja nishawah kuisoma walizungumzia kua unene haupunguzi uume ila unene Unafanya uume kuonekana mdogo.. soma hiyo sentence uielewe vizuri
Chukulia wali ulopakuliwa kwenye sahani na ulopakuliwa kweye sinia ujazo uleule upi utaonekana mwingi na upi utaonekana mdogo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
wanaume wengi wamekuwa wakiteseka juu ya ukubwa halisi wa maumbile yao,hilo limewafany wengi kutokujiamini na kupoteza hamu ya tendo,ni ukweli kuwa watu wenye maumbile makubwa mara nyingi huwa na maumbile madogo japo si wote cha muhimu fanya mazoezi punguza nyama zembe na mafuta mwilini,kuhusu mambo ya kuongeza size ya uume achana nayo kwani watu husema size does not matter hivyo hilo lisikusumbue kichwa after all average size of penis ni inchi 5.5 mpaka inchi 6 na kuendelea kipimo hiki ni pale uume unapokuwa umedinda.
 
Unaposema mwili mkubwa kuna mawili, mosi ni gigantism na pili ni obesty sijaelewa unamaanisha yupi..
Size ya uume hupimwa kuanzia sehem uume unapoanza kuonekana tokea mwilini. Mtu mwenye mafuta mengi uume huonekana mdogo sababu sehemu fulani ya uume imefichwa under the skin.. Jibu lako ni ndio kwamba endapo mafuta hayo yakipungua ile sehem iliyofichw ndani itakuw exposed na uume utaonekana mkubwa zaidi (japo ulikuw na ukubwa huo tokea hawali).
Mazoezi husaidia kupunguza mafuta hayo na pia mazoezi yana emprove blood flow katika uume hence mtu anapata maximum erection..
Upande wa gigantism mnot sure asee[emoji23] [emoji23] just a simple guess nafikiri everything is expected to be larger than normal..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maca root na tangkai

Ila nadhani ukifanya keto diet ni nzuri zaidi
 
Simple tu mwili ukiwa mkubwa huwa unavuta nyama zote za sehemu ya chini ikiwa ni pamoja na sehemu za siri , unazipandisha tumboni, kitu hicho kinapelekea kuji roma mkatoliki faster, .

Jaribu kuwachunguza wanawake wengi walio wahi kunenepa vibaya utagundua huwa wanakuwa shapeless kwasababu nyama ya makalio hupanda juu ya tumbo na kuyaacha makalio kutoka kwenye kuitwa makalio hadi tukali, na hapo ndipo chanzo cha tatizo lako kimeanzia, by the way bado unanafasi ya kupunguza mwili wa juu na tumbo ili kurudisha mambo sawa.
 
Kila mtu alipewa, kulingana na kazi anayokuja kufanya. Wengine kazi yetu ni kubikiri totoz. Saa jimuogo la nini?
 
Unazungumzia ukubwa upi?
Gigantism Au obesity
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…