Ni Yapi Majina Sahihi Ya Hawa Watu?

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,265
Hapa nchini tunalo tatizo la matamshi ya herufi 'l' na 'r'. Yapo majina ya watu- wasanii watangazaji nk. yanayonichanganya sana kwa sababu ya hizo herufi 'l' na 'r'. Nisaidie kwa mfano majina yafuatayo:

1. Msanii maarufu wa nyimbo za asili huko mkoani kagera ni Saida Kalori ama Saida Karoli?

2.Mtangazaji maarufu wa Star Tv ambaye pia ni shabiki mkubwa wa mpira wa miguu ni Hilal Riyami ama Hilary Riyami?

Asanteni!
 
Hilary nadhani ni kulifanya jina lake liwe la kizungu (anglicized). Hili jina linaonyesha kuwa na asili ya kiarabu na kwa maoni yangu ni kuwa jina lake hasa ni HILAL.

Mohamed - Moody
Rashid - Rush
Bilal - Bill
nk
 
Saida Karoli na Hilary Riyami
Oh kumbe huyo mtangazaji wa star tv ni Hilary? Mie mara nasikia Hilal mara Hilary........ Na huyo dada mwanamuziki kwenye magazeti wanaandika Saida Kalori. Nikahua lazima itakuwa Karoli tu. Sante.
 
Hilary nadhani ni kulifanya jina lake liwe la kizungu (anglicized). Hili jina linaonyesha kuwa na asili ya kiarabu na kwa maoni yangu ni kuwa jina lake hasa ni HILAL.

Mohamed - Moody
Rashid - Rush
Bilal - Bill
nk
Tatizo hapa Kifyatu ni kwamba kuna shida ya matamshi ya herufi 'l' na 'r', siyo habari ya watu kutaka uzungu (ingawa hilo kweli lipo). Watangazaji wenyewe wa star tv wanapotaja jina la mwenzao, mara utasikia hilal mara kitu kama hilary. Nashindwa kufahamu yupi yuko sahihi.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…