Ni yapi maoni yako kuhusu namna vyombo vya habari vinavyoripoti maafa ya kuanguka ghorofa Kariakoo?

Ni yapi maoni yako kuhusu namna vyombo vya habari vinavyoripoti maafa ya kuanguka ghorofa Kariakoo?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nimefuatilia matangazo ya vyombo vyetu vya habari, naamini na wewe utakubaliana na mimi kwamba vyombo vyetu vimeambatana na Waziri Mkuu kisha vikaambatana na RC kadri anavyofika eneo la tukio.

Viongozi wakiondoka na vyombo navyo vinazimwa. Hakuna chombo hadi sasa kilichotoa idadi ya watu ambao ndugu zao wamethibitisha wapo chini ya jengo.

Kuna ndugu wamepiga simu usiku wanatoa hadi location walipo na wapo kumi ila mwandishi wa habari hata kuuliza mambo ya msingi ya kufanikisha wafikiwe kupewa misaada hakuna.

Vyombo vya Habari kwa kutokuwepo eneo la tukio wameripoti kwamba uokozi umesitishwa. Wakati wanatoa habari hizo RC anasema kazi inaendelea.

Je, Vyombo vya Habari vimezuiwa kufanya live coverage? Tatizo lipo wapi hadi wanakosa utu dhidi ya waliopo kwenye majanga? Wanahitaji hadi wapewe bahasha?

PIA SOMA
- LIVE - Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Majeruhi 63 kati ya 70 waruhusiwa, uokozi bado unaendelea, zoezi halijasitishwa
 
vyombo vya habari havijaonesha kujali utu kabisa

Niliona wanaonesha muhanga ambaye anaekekea kupatiwa huduma kwenye Ambulance ...hajastiriwa utu wake na inaamsha majonzi kwa ndugu...yote hii ni kusaka kiki ya likes za Instagram.

Wengine wanarusha taarifa ya uongo ya mtu asiye-exist mtandaoni eti amepost yupo kwenye kifusi anaaga kupoteza maisha.

Wengine wanatoa taarifa ya zoezi la uokoaji kusitishwa.

Hakuna aliyetoa taarifa ya kuwaasa wananchi kupungua au kuondoka eneo la tukio.

Hakuna anayetoa tahadhari ya watu wengine wanaopanda maghorofani kwa wingi kushuhidia tukio .

Hakuna anayehoji wataalamu juu ya athari zinazoweza kutarajiwa kwenye tukio la namna hii...

Na blunders nyinginezo
 
Nimefuatilia matangazo ya vyombo vyetu vya habari, naamini na wewe utakubaliana na mimi kwamba vyombo vyetu vimeambatana na Waziri Mkuu kisha vikaambatana na RC kadri anavyofika eneo la tukio.

Viongozi wakiondoka na vyombo navyo vinazimwa. Hakuna chombo hadi sasa kilichotoa idadi ya watu ambao ndugu zao wamethibitisha wapo chini ya jengo.

Kuna ndugu wamepiga simu usiku wanatoa hadi location walipo na wapo kumi ila mwandishi wa habari hata kuuliza mambo ya msingi ya kufanikisha wafikiwe kupewa misaada hakuna.

Vyombo vya Habari kwa kutokuwepo eneo la tukio wameripoti kwamba uokozi umesitishwa. Wakati wanatoa habari hizo RC anasema kazi inaendelea.

Je, Vyombo vya Habari vimezuiwa kufanya live coverage? Tatizo lipo wapi hadi wanakosa utu dhidi ya waliopo kwenye majanga? Wanahitaji hadi wapewe bahasha?

PIA SOMA
- LIVE - Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Majeruhi 63 kati ya 70 waruhusiwa, uokozi bado unaendelea, zoezi halijasitishwa
 
vyombo vya habari havijaonesha kujali utu kabisa

Niliona wanaonesha muhanga ambaye anaekekea kupatiwa huduma kwenye Ambulance ...hajastiriwa utu wake na inaamsha majonzi kwa ndugu...yote hii ni kusaka kiki ya likes za Instagram.

Wengine wanarusha taarifa ya uongo ya mtu asiye-exist mtandaoni eti amepost yupo kwenye kifusi anaaga kupoteza maisha.

Wengine wanatoa taarifa ya zoezi la uokosji kusitishwa.

Hakuna aliyetoa taarifa ya kuwaasa wananchi kupungua au kuondoka emeo la tukio.

Hakuna anayetoa tahadhari ya watu wengine wanaopanda maghorofani kwa wingi kushuhidia tukio .

Hakuna anayehoji wataalamu juu ya athari zinazoweza kutarajiwa kwenye tukio la namna hii...

Na blunders nyinginezo
Soma hii

....Vyombo vya Habari kwa kutokuwepo eneo la tukio wameripoti kwamba uokozi umesitishwa. Wakati wanatoa habari hizo RC anasema kazi inaendelea..!
 
Kuna kitu kimeniumiza sana kwa hawa waliopiga simu.. Wanasema aambiwe hata mama au rc.. 🥱 Tumefika hapa pa kudhani mkuu wa nchi ndio kila kitu.. Lakini Chief consoler anayeliliwa na wananchi hayupo😭
Je wakija kujua ya kwamba wakati wanamlilia awasaidie yeye alikuwa airport anaondoka watajisikiaje?
 
Nilitaraji wangehoji watu kutoka kitivo cha uhandisi chuo kikuu cha Dar es salaam kuhusu mambo ya ujenzi, mfano kuchimba ghorofa kwa chini ili kutengeneza underground. Na kiasi gani ni salama kuweka stoo ya mizigo maghorofani vs uwezo wa ghorofa kubeba mzigo, anayetoa kibali cha stoo, alipima kiwango cha juu cha mzigo kubebwa, na stoo ikae juu binadamu chini!? Na wakikaa chini, ikitokea shida si watafukiwa wote?

Wangeenda kwa wana sheria kuhusu vibali vya ujenzi, na iwapo kulikuwa na kibali hicho? Ramani ya jengo ilibadilishwa na mamlaka ili kuonyesha sasa lina underground?mamlaka ipi ilipitisha mabadiliko? Je original concept ya jengo ilikuwa ni stoo au kutumika na binadamu tu? Nani injinia? Mshauri?
 
Kuna kitu kimeniumiza sana kwa hawa waliopiga simu.. Wanasema aambiwe hata mama au rc.. 🥱 Tumefika hapa pa kudhani mkuu wa nchi ndio kila kitu.. Lakini Chief consoler anayeliliwa na wananchi hayupo😭
Je wakija kujua ya kwamba wakati wanamlilia awasaidie yeye alikuwa airport anaondoka watajisikiaje?
Ndugu Mshana Jr hapa ndipo panapofikirisha sana. Watakuja vijana wakuambie kwamba sio mama aliyesimamia ujenzi wa jengo tajwa
 
vyombo vya habari havijaonesha kujali utu kabisa

Niliona wanaonesha muhanga ambaye anaekekea kupatiwa huduma kwenye Ambulance ...hajastiriwa utu wake na inaamsha majonzi kwa ndugu...yote hii ni kusaka kiki ya likes za Instagram.

Wengine wanarusha taarifa ya uongo ya mtu asiye-exist mtandaoni eti amepost yupo kwenye kifusi anaaga kupoteza maisha.

Wengine wanatoa taarifa ya zoezi la uokosji kusitishwa.

Hakuna aliyetoa taarifa ya kuwaasa wananchi kupungua au kuondoka emeo la tukio.

Hakuna anayetoa tahadhari ya watu wengine wanaopanda maghorofani kwa wingi kushuhidia tukio .

Hakuna anayehoji wataalamu juu ya athari zinazoweza kutarajiwa kwenye tukio la namna hii...

Na blunders nyinginezo
Hahaha mbona huku umeandika niliyokujibu kwenye post yako.

Kumbe huwa mnaakili mkiambiwa ukweli?

Ohoo Wamejitahidi, sasa mbona hapa umebadirisha maelezo?
 
Waandishi Habari Hovyo.

Unashindwa Kumuambia Mhanga ataje majina ya Watu alioko nao Chini Huko na kuwauliza watoe taarifa za makazi ili ndugu zao wajue.

Basi hata kuwashirikisha habari waokoaji inashindikana unawapigisha story.

Ayo TV na wenzake wanaelekea kuwa kama Al Jazeera..
 
Nimefuatilia matangazo ya vyombo vyetu vya habari, naamini na wewe utakubaliana na mimi kwamba vyombo vyetu vimeambatana na Waziri Mkuu kisha vikaambatana na RC kadri anavyofika eneo la tukio.

Viongozi wakiondoka na vyombo navyo vinazimwa. Hakuna chombo hadi sasa kilichotoa idadi ya watu ambao ndugu zao wamethibitisha wapo chini ya jengo.

Kuna ndugu wamepiga simu usiku wanatoa hadi location walipo na wapo kumi ila mwandishi wa habari hata kuuliza mambo ya msingi ya kufanikisha wafikiwe kupewa misaada hakuna.

Vyombo vya Habari kwa kutokuwepo eneo la tukio wameripoti kwamba uokozi umesitishwa. Wakati wanatoa habari hizo RC anasema kazi inaendelea.

Je, Vyombo vya Habari vimezuiwa kufanya live coverage? Tatizo lipo wapi hadi wanakosa utu dhidi ya waliopo kwenye majanga? Wanahitaji hadi wapewe bahasha?

PIA SOMA
- LIVE - Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Majeruhi 63 kati ya 70 waruhusiwa, uokozi bado unaendelea, zoezi halijasitishwa
muhimu zaidi ni kuokoa waliofunikwa na kifusi.

Location ni bayana kariakoo, na ni wazi zoezi la uokozi linaendelea vizuri, vyombo vya ulinzi na usalama viko location na vinafanya kazi nzuri sana.

Nini tena kifanyike zaidi ya kuokoa watu ndrugu zango?🐒
 
Vyombo vya Habari kwa kutokuwepo eneo la tukio wameripoti kwamba uokozi umesitishwa. Wakati wanatoa habari hizo RC anasema kazi inaendelea.
Wewe unadhani nani mkweli kati ya vyombo vya habari na huyo RC wako?
 
Tungeelewa kwanini nchi kama uingereza awataki counter arguments za wengine hadi wamezitoa TV channels kama Russia Today, AL-Jazeera, China TV, et al; kupatikana kirahisi ndio tungejua shughuli ya kuongoza nchi sio ya mzaha.

Silaha number moja ya kuendesha nchi ni media, unataka wananchi wako wapate habari na hisia unazotaka wewe.

Mfano kiongozi ambae hataki nchi yake ighubikwe na udini Maxence Melo angekoma kwa kuachia posts za udini au yeyote anaefumbia macho mijadala hiyo. Hii sio utani ulaya, haya mambo tunaweza chukulia poa kwetu, uingereza unasakwa.

Huko kwengine kwenye ku-shape watu on grounds thinking wanatumia hela nyingi sana wamarekani. Watu hawabebi tu bendera na kupeperusha mbele ya nyumba zao.

Hiyo propaganda inayotumika hela wanazopewa Hollywood studio kuonyesha America is great ni ndogo.

Shughuli ya kuendesha nchi na kuwapa watu wake fikra za maendeleo ni mchezo wa watu wenye akili.

Wenzetu, hawajaendelea kwa bahati. Isipokuwa nyuma yake kuna watu wenye akili sana.

Na tukiwapata hao watu kwa Tanzania kazi yao haitokuwa raisi mwanzo kuwabadili watu tabia.

Ndio maana Magufuli akueleweka.

Shughuli ya kupeleka maendeleo na kuwabadili watu tabia (sio kazi ndogo) ni mataahira tu ambae akumuelewa Magufuli.
 
Katika kazi kubwa ya vyombo vya usalama ni hiyo ku-control narrative.

Ndio maana nchi ambazo ni dictatorship kama North Korea hawaruhusu habari za nje.

Tanzania watu wanalishwa habari za mastaa uchwara. Badala ya nationalism propaganda na utu.

Wazungu hawapo walipo kwa kubahatisha nyuma ya serikali zao kuna watu wana akili kweli-kweli.
 
Viongozi wakiondoka na vyombo navyo vinazimwa. Hakuna chombo hadi sasa kilichotoa idadi ya watu ambao ndugu zao wamethibitisha wapo chini ya jengo.

Kuna ndugu wamepiga simu usiku wanatoa hadi location walipo na wapo kumi ila mwandishi wa habari hata kuuliza mambo ya msingi ya kufanikisha wafikiwe kupewa misaada hakuna
Hivyo vyombo vitakuwa ni vile vya wabubujikwa na machozi
 
Nimefuatilia matangazo ya vyombo vyetu vya habari, naamini na wewe utakubaliana na mimi kwamba vyombo vyetu vimeambatana na Waziri Mkuu kisha vikaambatana na RC kadri anavyofika eneo la tukio.

Viongozi wakiondoka na vyombo navyo vinazimwa. Hakuna chombo hadi sasa kilichotoa idadi ya watu ambao ndugu zao wamethibitisha wapo chini ya jengo.

Kuna ndugu wamepiga simu usiku wanatoa hadi location walipo na wapo kumi ila mwandishi wa habari hata kuuliza mambo ya msingi ya kufanikisha wafikiwe kupewa misaada hakuna.

Vyombo vya Habari kwa kutokuwepo eneo la tukio wameripoti kwamba uokozi umesitishwa. Wakati wanatoa habari hizo RC anasema kazi inaendelea.

Je, Vyombo vya Habari vimezuiwa kufanya live coverage? Tatizo lipo wapi hadi wanakosa utu dhidi ya waliopo kwenye majanga? Wanahitaji hadi wapewe bahasha?

PIA SOMA
- LIVE - Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Majeruhi 63 kati ya 70 waruhusiwa, uokozi bado unaendelea, zoezi halijasitishwa
Wataripoti kwa madaha jinsi polisi wanavyokataza maandamano ya CHADEMA na biashara ya ngono mitaani.
 
Tungeelewa kwanini nchi kama uingereza awataki counter arguments za wengine hadi wamezitoa TV channels kama Russia Today, AL-Jazeera, China TV, et al; kupatikana kirahisi ndio tungejua shughuli ya kuongoza nchi sio ya mzaha.

Silaha number moja ya kuendesha nchi ni media, unataka wananchi wako wapate habari na hisia unazotaka wewe.

Mfano kiongozi ambae hataki nchi yake ighubikwe na udini Maxence Melo angekoma kwa kuachia posts za udini au yeyote anaefumbia macho mijadala hiyo. Hii sio utani ulaya, haya mambo tunaweza chukulia poa kwetu, uingereza unasakwa.

Huko kwengine kwenye ku-shape watu on grounds thinking wanatumia hela nyingi sana wamarekani. Watu hawabebi tu bendera na kupeperusha mbele ya nyumba zao.

Hiyo propaganda inayotumika hela wanazopewa Hollywood studio kuonyesha America is great ni ndogo.

Shughuli ya kuendesha nchi na kuwapa watu wake fikra za maendeleo ni mchezo wa watu wenye akili.

Wenzetu, hawajaendelea kwa bahati. Isipokuwa nyuma yake kuna watu wenye akili sana.

Na tukiwapata hao watu kwa Tanzania kazi yao haitokuwa raisi mwanzo kuwabadili watu tabia.

Ndio maana Magufuli akueleweka.

Shughuli ya kupeleka maendeleo na kuwabadili watu tabia (sio kazi ndogo) ni mataahira tu ambae akumuelewa Magufuli.
Umeandika point sana ila subiri wenye akili finyu waje wakushukie kama mwewe, wao hudhani maendeleo ya nchi ni kula nyama choma, kuvaa suti, kununua masofa na TV na kupata hela za kuhonga honga.
 
Katika kazi kubwa ya vyombo vya usalama ni hiyo ku-control narrative.

Ndio maana nchi ambazo ni dictatorship kama North Korea hawaruhusu habari za nje.

Tanzania watu wanalishwa habari za mastaa uchwara. Badala ya nationalism propaganda na utu.

Wazungu hawapo walipo kwa kubahatisha nyuma ya serikali zao kuna watu wana akili kweli-kweli.
Kitu cha hovyo ambacho serikali inatakiwa kuwa nacho makini ni TikTok
 
Umeandika point sana ila subiri wenye akili finyu waje wakushukie kama mwewe, wao hudhani maendeleo ya nchi ni kula nyama choma, kuvaa suti, kununua masofa na TV na kupata hela za kuhonga honga.
Wala wasikusumbue kuelewa kilichoandikwa hapo ni kwa ajili ya watu ambao wanajisumbua kuelewa how the world revolves .

Hao wengine hawawezi ona substance to formulate an opinion ya kukubaliana au kunipinga. Sana sana kwao ni post ya kijinga tu wakishasoma it doesn’t make sense to them.
 
Waandishi Habari Hovyo.

Unashindwa Kumuambia Mhanga ataje majina ya Watu alioko nao Chini Huko na kuwauliza watoe taarifa za makazi ili ndugu zao wajue.

Basi hata kuwashirikisha habari waokoaji inashindikana unawapigisha story.

Ayo TV na wenzake wanaelekea kuwa kama Al Jazeera..
Mtu kapanick vile unamhoji vipi, wabongo hamnaga jema ninyi watu.

Alichokifanya mwandishi wa Ayo tv kajitahidi sana, kapata mawasiliano ya walio chini, kawasiliana nao, kawauliza idadi na mahali walipo ila hali zao hata wao wameshindwa kueleza kwasababu ya taharuki halafu eti uulize majina yao, kijana uko sawa kweli???

Mtu anasubiri uokozi abaki hai ati wewe unataka majina yake ili uwajuze ndgu zake then what??

Acheni lawama lawama za hovyo.
 
Vyombo vya habari Tanzania hasa private mainstream inabidi viwaombe radhi waTanganyika. Ndo kwanza wanakomaa na vipindi vyao. Alafu wengi ni weupe kichwani kwenye kuripoti live. Mfano jana nimeangalia mwandishi wa habari channel 10 usiku saa moja kaunganishwa live anaulizwa kwa urefu kinachoendelea na nini kimetokea anajibu kifupi kwa kutetemeka aisee!

Mwengine wa ayo tv badala ya kuwajibu kinachoendelea waliofukiwa kifusini ndo kwanza anawauliza hali ikoje! Sa sijui alitegemea aambiwe wanaendelea vizuri wanakula nyama choma na kunywa gambe kifusini! This country is fucked!
 
Back
Top Bottom