Ni yapi maoni yako kuhusu namna vyombo vya habari vinavyoripoti maafa ya kuanguka ghorofa Kariakoo?

Ni yapi maoni yako kuhusu namna vyombo vya habari vinavyoripoti maafa ya kuanguka ghorofa Kariakoo?

Kuna kitu kimeniumiza sana kwa hawa waliopiga simu.. Wanasema aambiwe hata mama au rc.. 🥱 Tumefika hapa pa kudhani mkuu wa nchi ndio kila kitu.. Lakini Chief consoler anayeliliwa na wananchi hayupo😭
Je wakija kujua ya kwamba wakati wanamlilia awasaidie yeye alikuwa airport anaondoka watajisikiaje?
Inasikitisha sana1
 
Najaribu kuwaza kwa sauti kubwa tena kwa kuweweseka tu: Mtu unaeneo lako kubwa tu umejenga mjengo wa ghorofa kadhaa na humo wanaishi ndugu zako wa karibu pamoja na wapangaji.
Mjengo unatitia asubuhi na mapema wakati umeishawasha VX lako kuanza safari kuelekea kanda ya kaskazini magharibi ambako una mwaliko wa mkutano unaowahusu wazito wa Dunia, wewe ni mwalikwa unayetarajiwa kutoa neno la shukurani...
Mjengo ulioanguka umeegemea upande mmoja zaidi ambapo kuna chumba cha watoto wako wa kiume na kifusi kilichoshuka kutoka ghorofa za juu, kimefunika kabisa eneo lote na hakuna taarifa za idadi ya walioko chini. Juhudi za uokozi zinasuasaua na hakuna kitengo kinachoaminika kutoa hata huduma ya kwanza...

Je! ..katika hali kama hiyo utaamua kuwasha gari lako mwenyewe uliloliandaa kwa safari kwenda kwenye mkutano ? Au utaomba udhuru na kuahirisha hiyo safari na kushughulika na maafa yaliyoikumba familia yako na jamii inayokuzunguka? 🤔😎
 
Tungeelewa kwanini nchi kama uingereza awataki counter arguments za wengine hadi wamezitoa TV channels kama Russia Today, AL-Jazeera, China TV, et al; kupatikana kirahisi ndio tungejua shughuli ya kuongoza nchi sio ya mzaha.

Silaha number moja ya kuendesha nchi ni media, unataka wananchi wako wapate habari na hisia unazotaka wewe.

Mfano kiongozi ambae hataki nchi yake ighubikwe na udini Maxence Melo angekoma kwa kuachia posts za udini au yeyote anaefumbia macho mijadala hiyo. Hii sio utani ulaya, haya mambo tunaweza chukulia poa kwetu, uingereza unasakwa.

Huko kwengine kwenye ku-shape watu on grounds thinking wanatumia hela nyingi sana wamarekani. Watu hawabebi tu bendera na kupeperusha mbele ya nyumba zao.

Hiyo propaganda inayotumika hela wanazopewa Hollywood studio kuonyesha America is great ni ndogo.

Shughuli ya kuendesha nchi na kuwapa watu wake fikra za maendeleo ni mchezo wa watu wenye akili.

Wenzetu, hawajaendelea kwa bahati. Isipokuwa nyuma yake kuna watu wenye akili sana.

Na tukiwapata hao watu kwa Tanzania kazi yao haitokuwa raisi mwanzo kuwabadili watu tabia.

Ndio maana Magufuli akueleweka.

Shughuli ya kupeleka maendeleo na kuwabadili watu tabia (sio kazi ndogo) ni mataahira tu ambae akumuelewa Magufuli.
HII POST YAKO IMENIBARIKI SANA !!
NI POST MUHIMU SANA NA YA KIZALENDO.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Nashangaa sana nikiona kijana ni mwanachama wa ccm wao wanachoweza ni kuiba kura tu.
 
Back
Top Bottom