Mkuu hapa ni Tz nenda pole pole!mpaka leo huu uzi hauna wachangiaji kabisa kweli nimeelewa kwa nini bei ya mafuta nchini iko chini kulinganisha na Marekani
Mkubwa nimeona hata mimi na UST imeshindwa kumantain peg ya$1 kwa sasa iko 0.35Tera Luna leo imeporomoka mporomoko wa radi kwa asilimia 98.
Kwa wale wenye uelewa wa crypto & blockchain je kuna uwezekano wa kuibuka algorithmic decentralized stablecoin itakayoweza kushindana na UST
Najilaumu sana kutoinunua luna mapema maana inaonekana ni coin ambayo bei yake itakuwa iko all time high mwaka mzima endapo hatajitokeza mshindani mwenye ubunifu zaidi ya terra kwenye decentralized stablecoin
Mkuu usijilaumu,bora hata hujainunua,hio ndio pona yakoKwa wale wenye uelewa wa crypto & blockchain je kuna uwezekano wa kuibuka algorithmic decentralized stablecoin itakayoweza kushindana na UST
Najilaumu sana kutoinunua luna mapema maana inaonekana ni coin ambayo bei yake itakuwa iko all time high mwaka mzima endapo hatajitokeza mshindani mwenye ubunifu zaidi ya terra kwenye decentralized stablecoin
Faida ni kwamba itapoingia sokoni RENEC ulizovuna sasa bure zitakuwa na thamani ya fedha. Hasara ni kwamba itakubidi kila siku utumie dakika mbili au tatu kufungua app ya Remitano na kufanya mining.Naomba elimu ya kutosha kuhusu hilo jambo- RENEC maana sijaelewa bado
Faida yake na hasara yake
Hauna wachangiaji kwa sababu Leno ilikua inaenda kuwa trash na imeshakua trash nowmpaka leo huu uzi hauna wachangiaji kabisa kweli nimeelewa kwa nini bei ya mafuta nchini iko chini kulinganisha na Marekani
Mkuu leo nilikuwa natazama cold fusion kuna uchunguzi unafanyika na mamlaka. Kuna fununu kwamba kuna watu au taasisi ilidhaniria kuiangusha hii coin hata kwa wao kula hasara. Yani ledger inaonyesha kuna watu walitumia bitcoin kununua luna halafu ndani ya dakika chache wakawithdraw walichoweka hivyo ukazua chaos kwa wamiliki. Na algorithm yake ilikuwa inatumia UST and Lunna kustabilize coin lakini ile panic ikasababisha watu waanze kuwithdraw chao na system haikuwa imeandaliwa kwa withdraw kubwa kama hyo ikawa tu inazalisha coins nyngne za luna basi ndo ikazidi shuka thaman mpaka 0.Hauna wachangiaji kwa sababu Leno ilikua inaenda kuwa trash na imeshakua trash now
Huwezi tengeneza virtual dollar kwa kubackup na bitcoin, depegging was a must. Wajanja walipoona btc inateleza chap wakajiuzia leno zao wakatoka.
πππ Eti Remikumi.Umekomaa na hili dude lako REMITANO kila uzi unachomeka hata kiwe REMIKUMI hatulitakiiiii
Bila shaka hizi ni kampuni za wallstreetMkuu leo nilikuwa natazama cold fusion kuna uchunguzi unafanyika na mamlaka. Kuna fununu kwamba kuna watu au taasisi ilidhaniria kuiangusha hii coin hata kwa wao kula hasara. Yani ledger inaonyesha kuna watu walitumia bitcoin kununua luna halafu ndani ya dakika chache wakawithdraw walichoweka hivyo ukazua chaos kwa wamiliki. Na algorithm yake ilikuwa inatumia UST and Lunna kustabilize coin lakini ile panic ikasababisha watu waanze kuwithdraw chao na system haikuwa imeandaliwa kwa withdraw kubwa kama hyo ikawa tu inazalisha coins nyngne za luna basi ndo ikazidi shuka thaman mpaka 0.
Wanasema aliyefanya hivyo alifanya makusudi kuiangusha.
Anakera sana huyu boyaTumekuchoka mzee kila sehm lazm uwele hiyo text yako
Inaonekana pale Wall Street uMafia ni mwingi.Bila shaka hizi ni kampuni za wallstreet
Pole mkuu.Tumekuchoka mzee kila sehm lazm uwele hiyo text yako
Ukiniweka pale kwenye ignore list believe me hutoona tena post za hivyo.Anakera sana huyu boya
Ok ngoja nikuignore we umbwa kokoUkiniweka pale kwenye ignore list believe me hutoona tena post za hivyo.
Hawa wako against crypto,kwa jinsi kuanguka kwa luna kutakavyoambatana msururu wa regulations kutoka kwa mamlaka haiwezekani aliyefanya hii maneno kuwa mtu anayeipenda cryptocurrenciesInaonekana pale Wall Street uMafia ni mwingi.