Hacktivist
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 249
- 86
hahaha mkuu ww pia unaweza kutupa ma-experience yakongoja Joseverest aje akusaidie.
Ebwana eeeh umetisha mkuu...!
Tunakusubiri mkuu.....Nitarudi
kudadeki...aliyechapia hivyo hakujing'ata mkuu..?Chumvi haina mboga
duuu huyu alikua anataka aseme nn mkuu...."Oyaa utapicha kunja"
Oyaa utakunja pichaduuu huyu alikua anataka aseme nn mkuu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
duuuu lazima atakua na matatizo kwenye ulimi wake...hahahahahFuata Asali Ule Nyuki
Wakati tupo JKT mshikaji alitoroka mazoezi, alipokamatwa akaambiwa achague adhabu kusimama kichwa juu miguu chini siku nzima au kuchimba shimo la choo siku nzima. Jamaa kwa paniki akachagua kuchimba choo.hahaha mkuu ww pia unaweza kutupa ma-experience yako
Mfupa hauna ulimi.