Hacktivist
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 249
- 86
Leo nimemsikia jamaa kachapia mpaka nikahisi akiendelea hv anaweza akawa bubu..
jamaa kaniuliza hv "Eti kati ya mbuzi na mkubwa nani nguruwe?"..wakuu embu naombeni nanyie mtoe michapio ambayo mmeshawahi kuisikia ikawaacha hoi....
jamaa kaniuliza hv "Eti kati ya mbuzi na mkubwa nani nguruwe?"..wakuu embu naombeni nanyie mtoe michapio ambayo mmeshawahi kuisikia ikawaacha hoi....