Ni zamu ya wazanzibar kupewa kiti cha uspika bunge la katiba.

Ni zamu ya wazanzibar kupewa kiti cha uspika bunge la katiba.

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
586
kwa kuwa tangu uhuru hajawahi tokea spika wa bunge la muungano kuwa mzanzibar.sasa ni wakati muafaka kwa zanzibar kupewa kit hicho bunge la katiba,

katungwe kautaratibu katakako hakikisha wajumbe wote wanaochuana kwa nafasi hiyo wawe wazanzibar.
 
wazanzibar tusionewe ,tanzania ni muungano wa nchi mbili zilzokuwa huru.wote wana haki sawa.
 
kwa kuwa tangu uhuru hajawahi tokea spika wa bunge la muungano kuwa mzanzibar.sasa ni wakati muafaka kwa zanzibar kupewa kit hicho bunge la katiba,

katungwe kautaratibu katakako hakikisha wajumbe wote wanaochuana kwa nafasi hiyo wawe wazanzibar.

Bunge la Katiba sio sawa na Kijiwe cha Ghahawa pale Kibanda-Maiti au sio sawa na mkusanyiko wa kuchukua Tende,Haluwa au Urojo pale Mwanakwerekwe,bali Bunge la Katiba linahitaji Mtu mweledi,busara,msimamo,mkomavu,mstahmilivu,mstaarabu,hekima na anaejua nini cha kufanya kwa muda na wakati muafaka,na watu wa pande hizo mnakosa hizi sifa.
 
Mpewe uspika kwani viti kiti maalumu hicho? waambie wagombee kama wanasifa watapata. Ila wawe wanajua mambo ya sheria siy akaja mtu na Dr. wa madrasa eti anataka kiti cha uspika.

kwa kuwa tangu uhuru hajawahi tokea spika wa bunge la muungano kuwa mzanzibar.sasa ni wakati muafaka kwa zanzibar kupewa kit hicho bunge la katiba,

katungwe kautaratibu katakako hakikisha wajumbe wote wanaochuana kwa nafasi hiyo wawe wazanzibar.
 
Acha kitu tu cha Uspika ambacho atapewa Mh Kificho lakini mimi naitaka zaidi Zanzibar yenye Mamlaka Kamili .
 
Acha kitu tu cha Uspika ambacho atapewa Mh Kificho lakini mimi naitaka zaidi Zanzibar yenye Mamlaka Kamili .

kweli kiti za uspika wa bunge hilo lazima kije zanzibar.kisipokuja tutajua hatuna muungano.watanganyika wakaungane na zambia au congo ndio wataweza kukaa kimya angali wenyewe wanashika kila nafasi
 
Ni zamu ya wazanzibar kupewa kiti cha uspika bunge la katiba
kwa kuwa tangu uhuru hajawahi tokea spika wa bunge la muungano kuwa mzanzibar.sasa ni wakati muafaka kwa zanzibar kupewa kit hicho bunge la katiba...
Unazungumzia bunge la katiba au la bunge la muungano? Katiba inasemaje, kuna zamu za kutoa spika? Huko Zanzibar, Mtanganyika gani amewahi kuwa spika? Acha upuuzi
 
1. Hakuna Spika wa Bunge la Katiba. Nadhani una maana Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

2. Ukisema safari hii ni zamu ya Zanzibar kwani ni wakati gani "Mtanganyika" amekua "spika" wa Bunge la Muungano?

3. Ni nini kinacho wazuia wajumbe wa Zanzibar kugombea nafasi ya uenyekiti wa Bunge la Katiba? Hawajiamini mpaka kuepo "kautaratibu" ka upendeleo?
 
Huyu jama kanywa UROJO mpaka KAVIMBIWA KALEWA..... SPIKA atoke ZAA NZI BALAA? huu sasa ni wendawaziu mkubwa sana. tuachen masikhara katika mambo ya maana zile mada za kwenye vijiwe pale MCHAMBA WIMA au MWANAKWEREKWE tuachaneni nazo, turudi kujadili mambo ya maana sasa. aaalaaahhh.
 
kwa kuwa tangu uhuru hajawahi tokea spika wa bunge la muungano kuwa mzanzibar.sasa ni wakati muafaka kwa zanzibar kupewa kit hicho bunge la katiba,

katungwe kautaratibu katakako hakikisha wajumbe wote wanaochuana kwa nafasi hiyo wawe wazanzibar.
katiba haiongelei zamu na ewe Mzanzibari usipende vya kupewa pewa! Vinang'ata hata kwa mtoto wa kiume! Gombea kiti kile kama wanaume wengine! Mnakera nyie...ndo mana CCM inatupilia mbali serikali tatu maana mtadai na vinginevyo hamtosheki mnapenda vya mdebwedo na dezo!
 
safari hii ni zamu ya kanda ya kaskazini kutoa rais wa tz.tangu uhuru tumetoa wagombea wengi tu lakini mmewatosa.
 
kwa kuwa tangu uhuru hajawahi tokea spika wa bunge la muungano kuwa mzanzibar.sasa ni wakati muafaka kwa zanzibar kupewa kit hicho bunge la katiba,

katungwe kautaratibu katakako hakikisha wajumbe wote wanaochuana kwa nafasi hiyo wawe wazanzibar.
Chetu chenu na chenu chenu wenyewe... kwendeni zenu....
 
Huyu jama kanywa UROJO mpaka KAVIMBIWA KALEWA..... SPIKA atoke ZAA NZI BALAA? huu sasa ni wendawaziu mkubwa sana. tuachen masikhara katika mambo ya maana zile mada za kwenye vijiwe pale MCHAMBA WIMA au MWANAKWEREKWE tuachaneni nazo, turudi kujadili mambo ya maana sasa. aaalaaahhh.

kwani wazanzibar sio watanzania? acha chuki za kijinga, hizo chuki zenu ndio maana zinasababisha chama chenu kionekane kina ubaguzi
 
Andrew chenge atakuwa spika ni mchumi kutoka chuo cha havard alichosoma Obama. kiufupi chenge ni genius, naomba wajumbe mpeni ridhaa yenu tunamtegemea watanzania
 
Unajua kinachofanya wazanzibar watake serikali tatu ni pamoja na kebehi wanazopata, kwa haraka tu nilikuwa nataka nikujuze kuhusu mwalimu wa madrasa kuwa ni watu wenye elimu ya jamii kuliko unavyofikiri maana mafundisho ya dini yanawapa uweledi wa hali juu na pia ndio maana wazungu wamejaribu kuufanya uslamu kuwa dhalili au umepitwa na wakati kwa sababu unapingana na kuidhulumu jamii na kuipotosha na ndio maana wametunga sera za ugaidi
 
safari hii ni zamu ya kanda ya kaskazini kutoa rais wa tz.tangu uhuru tumetoa wagombea wengi tu lakini mmewatosa.

Kenya kabila kubwa ndo linaloongoza hapa Tz kabila kubwa ni wasukuma, nadhani ni wakati muafaka 2015 ngosha tuongoze nchi mkuu!!
 
kwa kuwa tangu uhuru hajawahi tokea spika wa bunge la muungano kuwa mzanzibar.sasa ni wakati muafaka kwa zanzibar kupewa kit hicho bunge la katiba,

katungwe kautaratibu katakako hakikisha wajumbe wote wanaochuana kwa nafasi hiyo wawe wazanzibar.
Hoja yako ni nyepesi na inaweza kupuuzwa kirahisi tu.
Ukweli ni kuwa hoja yako si rahisi ina mantiki kubwa sana kama wznz wanavyofikiri.

Siku zote nimekuwa nasema kazi ya mznz ni kudai vyeo na madaraka.
Nimesema kuwa hata bunge la katiba wamekuja wakiwa na fomu za ubalozi, ukurugenzi, ukatibu mkuu, uwaziri umakamu na urais.

Hutasikia mznz hata mmoja akiongelea gharama na kama yupo basi ujue ni mwendawazimu.
Mznz mwenye akili timamu haongelei gharama kwasababu ni wajibu wa Mtanganyika.

Ndivyo iunavyoonekana katika hoja yako unapotaka spika au mwenyekiti achaguliwe kutoka znz wakati wajumbe wote wanalipwa posho bila SMZ uweka hata senti tano.

Ungeuliza gharama zinalipwa na nani halafu ndipo suala la nchi huru sawa lije.
Kama znz hawataki gharama maana yake hawataki usawa!
Hakuna usawa usio na wajibu isipokuwa kwa wapuuzi tu.

Fikra za mznz ni nafasi za ubalozi na vyeo baasi, anajua huduma za vitu hivyo huteremeka wakati wa mvua za masika.

JokaKuu GHIBUU takashi Nonda Mchambuzi Bongolander Bobwe
 
Bunge la Katiba sio
sawa na Kijiwe cha Ghahawa pale Kibanda-Maiti au sio sawa na mkusanyiko
wa kuchukua Tende,Haluwa au Urojo pale Mwanakwerekwe,bali Bunge la
Katiba linahitaji Mtu
mweledi,busara,msimamo,mkomavu,mstahmilivu,mstaarabu,hekima na anaejua
nini cha kufanya kwa muda na wakati muafaka,na watu wa pande hizo
mnakosa hizi sifa.

Basi atapewa mama ako muuza gongo au bibi yako ngariba ngawa we . Mijitu ambayo ina mama mmoja lakin baba 25 utaijua tu. Iv we punda umeshawah kumuliza mama ako kwanini huna baba?
 
Back
Top Bottom