Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Hili ni swali kutoka kwa mmoja wa wafuatiliaji wa ukurasa wetu kutoka mkoani Mara.
Ukitaka kusema ni zamu yako, huwa tunasema “It’s your turn…”.
Kuna baadhi huwa wanasema “It’s your duty….”. Hii sio sahihi, kwa muktadha wa zamu.
Wengi wanaosema “It’s your duty”, husema hivyo kwa kuwa shuleni tulizoea kumwita mwalimu wa zamu kama “T.O.D” ikiwa ni kifupi cha “Teacher On Duty”.
Ni kweli mwalimu wa zamu anafahamika kama “Teacher On Duty” kwa Kiingereza. Lakini inapokuja suala la kumaanisha zamu ya mtu kufanya kitu fulani, hatusemi “It’s your duty”.
Endapo utasema “It’s your duty”, utamaanisha “ni wajibu wako”. Inakuwa haina maana ya zamu tena.
TUTAZAME MIFANO ILI TUELEWE ZAIDI:
1. It’s your turn to wash the dishes today. (Ni zamu yako kuosha vyombo leo.)
2. It’s your turn to pay the bill. (Ni zamu yako kulipa bili).
3. It’s our turn to rest. (Ni zamu yetu kupumzika).
TUISHIE HAPA KWA WAKATI HUU.
POST HII NI MAALUMU KWA BEGINNERS. UNAPOANZA KUJIFUNZA LUGHA NI LAZIMA UJIFUNZE MANENO YATAKAYOKUSAIDIA
KUWASILIANA KATIKA MAZINGIRA YANAYOKUZUNGUKA.
KUSEMA NI 'ZAMU YAKO KUFANYA KITU FULANI', NI JAMBO LA KAWAIDA KATIKA MAZINGIRA YOTE. KUANZIA MAZINGIRA YA NYUMBANI HADI KAZINI
Ukitaka kusema ni zamu yako, huwa tunasema “It’s your turn…”.
Kuna baadhi huwa wanasema “It’s your duty….”. Hii sio sahihi, kwa muktadha wa zamu.
Wengi wanaosema “It’s your duty”, husema hivyo kwa kuwa shuleni tulizoea kumwita mwalimu wa zamu kama “T.O.D” ikiwa ni kifupi cha “Teacher On Duty”.
Ni kweli mwalimu wa zamu anafahamika kama “Teacher On Duty” kwa Kiingereza. Lakini inapokuja suala la kumaanisha zamu ya mtu kufanya kitu fulani, hatusemi “It’s your duty”.
Endapo utasema “It’s your duty”, utamaanisha “ni wajibu wako”. Inakuwa haina maana ya zamu tena.
TUTAZAME MIFANO ILI TUELEWE ZAIDI:
1. It’s your turn to wash the dishes today. (Ni zamu yako kuosha vyombo leo.)
2. It’s your turn to pay the bill. (Ni zamu yako kulipa bili).
3. It’s our turn to rest. (Ni zamu yetu kupumzika).
TUISHIE HAPA KWA WAKATI HUU.
POST HII NI MAALUMU KWA BEGINNERS. UNAPOANZA KUJIFUNZA LUGHA NI LAZIMA UJIFUNZE MANENO YATAKAYOKUSAIDIA
KUWASILIANA KATIKA MAZINGIRA YANAYOKUZUNGUKA.
KUSEMA NI 'ZAMU YAKO KUFANYA KITU FULANI', NI JAMBO LA KAWAIDA KATIKA MAZINGIRA YOTE. KUANZIA MAZINGIRA YA NYUMBANI HADI KAZINI