Ni zipi sababu za Akaunti ya Bank Kuzuiliwa?

Ni zipi sababu za Akaunti ya Bank Kuzuiliwa?

Zipo sababu nyingi sana ambazo zinaweza kusababisha Akaunti ya Benki kuwa Blocked na Bankers wako.

Aidha, pia zipo Taasisi au Mamlaka nyingi sana za kiSerikali ambazo zinaweza kuwa na Access na Akaunti yako ya Benki.
Mathalani, Mamlaka za Upelelezi au Mamlaka za Usimamizi wa Sheria kama vile Jeshi la Polisi, Mamlaka za Intelijensia ya Fedha (Financial Intelligence Units, FIU), Mamlaka za Udhibiti wa Mapato e.g. TRA, Benki Kuu, n.k.
Ahsante sana mkuu. Hapa umemaliza mjadala kwa kushusha nondo zilizoenda shule.
 
Yaah kila akaunti ina kikomo cha pesa kuna common, standard, prestige, na premium sasa hapo inafatana uko kundi gani na pesa ikiingizwa kama ulikuwa daraja la chini ili ukaitoe unatakiwa kujaza fomu ili waupdate kiwango cha pesa inayotakiwa kusoma kwa akaunti n.k na wajue pesa imetoka wapi na ni ya kazi gani na kwanini imewekwa kwenye akaunti yako
 
Habari wakuu!!

Naomba kufahamishwa ni zipi sababu za Akaunti ya bank kuzuiliwa kuhamisha pesa.

Ukijaribu ujumbe unakuwa

"Hauruhuziwi kuhamisha fedha kwenye akaunti hii"

Ukiwapigia Customer Service wanakwambia akaunti imezuiliwa na Tawi lako, nenda kwenye tawi hilo.
Sasa mimi ni miaka mingi sipo mkoa huo na kwasasa nipo mbali sana kutoka mkoa huo.

Ahsanteni.
KYC
 
Back
Top Bottom