mkono wa nyoka
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 334
- 54
Habari wakuu mimi ni kijana wa miaka 24 .
Mke wangu alikuwa na ujauzito wake wa kwanza mwezi wa tisa sasa yeye ni mwalimu baada ya miezi miwili akanza kuingia siku zake sasa hapo ndio kwenda hospital wakasema mimba imeharibika.
Napenda kujua sababu inayosababiasha kuanza kubleede ilihali una mimba MziziMkavu.
Nashukuru.
Mke wangu alikuwa na ujauzito wake wa kwanza mwezi wa tisa sasa yeye ni mwalimu baada ya miezi miwili akanza kuingia siku zake sasa hapo ndio kwenda hospital wakasema mimba imeharibika.
Napenda kujua sababu inayosababiasha kuanza kubleede ilihali una mimba MziziMkavu.
Nashukuru.