steveson manumbu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 887
- 178
Wana Jamii forums kwa anae elewa taratibu za kuanzisha NGOs kwa Tanzania ambayo inafanya kazi nje ya nchi lakini wanahitaji kuwa na tawi kwa Tanzania,naomba kujuzwa taratibu zinazotakiwa kufuata ili kutambulika kisheria.
Asanteni.
Asanteni.