The Teacher
Senior Member
- Feb 2, 2013
- 176
- 81
Jamani mwenye kujua taratibu za kuwa wakala wa bima. eneo nilipo kuna bodaboda nyingi sana na kla kukicha zinanunuliwa wakitaka kukatia bima vyombo vyao basi ni lazima mtu aende mjini.
Mwenye kujua taratibu jamani please help me nitumie hiyo fursa.
Mwenye kujua taratibu jamani please help me nitumie hiyo fursa.