Nia na madhumuni ya rais Trump ni yapi hasa?

Nia na madhumuni ya rais Trump ni yapi hasa?

Omnibu

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
224
Reaction score
252
Heshima kwenu nyote wana jamii forum. Nimekuwa nikifuatilia matakwa na makusudio ya rais Trump toka aingie madarakani, matamanio yake yamekuwa yakiniachia maswali ya kujiuliza pamoja na kwamba hata walengwa wake wamekuwa wakimtolea nje.
Mfano alianza na kutaka kuinunua Gaza,ikafuatiwa na kutaka madini ya Ukrein na sasa analenga kuchukua madini ya DRC kwa kuingia nao mkataba kama ule wa Ukrein.
Karibuni tuelimishane kwa kina zaidi.
 
Jamaa naona kapania, jana niliona waziri mkuu mtalajiwa wa Canada anasema Trump ni mbabaishaji tu Canada wako tayari ku fightit back.
Ahaa.. 😅😅😅
Huyo Waziri Mkuu ana kichaa.. apigane na Marekani..!
 
Heshima kwenu nyote wana jamii forum. Nimekuwa nikifuatilia matakwa na makusudio ya rais Trump toka aingie madarakani, matamanio yake yamekuwa yakiniachia maswali ya kujiuliza pamoja na kwamba hata walengwa wake wamekuwa wakimtolea nje.
Mfano alianza na kutaka kuinunua Gaza,ikafuatiwa na kutaka madini ya Ukrein na sasa analenga kuchukua madini ya DRC kwa kuingia nao mkataba kama ule wa Ukrein.
Karibuni tuelimishane kwa kina zaidi.
Sorry nilimaanisha Ukraine
 
Anachukua madini ya Ukraine na Congo na nchi nyingine yoyote itakayojilengesha, anataka Canada iwe jimbo la 51 la US, anaitaka Panama Canal, Gulf of Mexico sasa google map washaiita Gulf of America.

Anachotaka ni MAKE AMERICA GREAT AGAIN. Vitu bila maslahi kwa US hataki. Anataka kuifanya US iwe kubwa na tajiri zaidi Duniani kwa namna yoyote ile
 
Anachukua madini ya Ukraine na Congo na nchi nyingine yoyote itakayojilengesha, anataka Canada iwe jimbo la 51 la US, anaitaka Panama Canal, Gulf of Mexico sasa google map washaiita Gulf of America.

Anachotaka ni MAKE AMERICA GREAT AGAIN. Vitu bila maslahi kwa US hataki. Anataka kuifanya US iwe kubwa na tajiri zaidi Duniani kwa namna yoyote ile
Kuna tetesi kuwa kumekuwepo na makumpuni makubwa makubwa ya USA yamekuweko huko Congo yakichimba hayo madini, ila sasa naona anataka kujimilikisha ili hao wanapigania huko wasiwe na uhuru nayo tena
 
Lengo la trump Ni kyikuza kiuchumi marekani (Kwa gharama yyt Ile)

Hapo congo Ni Tshisekedi na uroho wake WA madaraka aliwafata kuwapa madini wamsaidie asipinduliwe na m23
 
Trump ni Populist na egomaniac.., na chakula anachoserve ni kwa raia wa USA ambao walimpigia KURA (Make America Great Again) vilevile yeye na oligarchs wengine kujipatia Pesa za madili ya hapa na pale...

Hivyo chochote anachosema kiwe kweli, uongo, kinawezekana au hakiwezekani au hata kama ni detrimental kwa USA ya kesho yeye hajali yeye anachojali ni now (jinsi ya ku make news) na watu wake kuona kwamba ni mbabe...
 
Haya yote ni madhara ya vita vya Urusi na Ukreni, kwa asilimia kubwa.

Ni dhahiri vikwazo walivyomwekea Urusi vimewarudia wao wenyewe.

Trump anafanya kila njia (nzuri na mbaya) ili kuunusuru uchumi wa Marekani.

Hatua ambazo amechukua hadi sasa:
1. Kusitisha misaada Ukraine
2. Kukata misaada na michango kwenye mashirika kama WHO, USAID na NGOs zingine
3. Kuongeza kodi kwenye bidhaa ingizi (imports)
4. Kudai fidia ya madini kwa misaada Ukreni
5. Kuchunguza na kuwafuta kazi watumishi wazembe na watumishi hewa
6. Kufuatilia na kudhibiti matumizi ya serikali
7. Kurejesha mahusiano ya Urusi
8. Kuilazimisha Ukreni imalize vita
9. Kutishia mataifa yanayotamani kujiunga na BRICS
10. Kutishia kujiondoa NATO, nk
 
Anachukua madini ya Ukraine na Congo na nchi nyingine yoyote itakayojilengesha, anataka Canada iwe jimbo la 51 la US, anaitaka Panama Canal, Gulf of Mexico sasa google map washaiita Gulf of America.

Anachotaka ni MAKE AMERICA GREAT AGAIN. Vitu bila maslahi kwa US hataki. Anataka kuifanya US iwe kubwa na tajiri zaidi Duniani kwa namna yoyote ile
Watakaokataa wana uchu wa madaraka
 
Jamaa naona kapania, jana niliona waziri mkuu mtalajiwa wa Canada anasema Trump ni mbabaishaji tu Canada wako tayari ku fightit back.
nayeye hamuiti PM anamuita Gavana😂 anataka kuifanya Canada iwe jimbo la 51 la yuesi
 
Haya yote ni madhara ya vita vya Urusi na Ukreni, kwa asilimia kubwa.

Ni dhahiri vikwazo walivyomwekea Urusi vimewarudia wao wenyewe.

Trump anafanya kila njia (nzuri na mbaya) ili kuunusuru uchumi wa Marekani.

Hatua ambazo amechukua hadi sasa:
1. Kusitisha misaada Ukraine
2. Kukata misaada na michango kwenye mashirika kama WHO, USAID na NGOs zingine
3. Kuongeza kodi kwenye bidhaa ingizi (imports)
4. Kudai fidia ya madini kwa misaada Ukreni
5. Kuchunguza na kuwafuta kazi watumishi wazembe na watumishi hewa
6. Kufuatilia na kudhibiti matumizi ya serikali
7. Kurejesha mahusiano ya Urusi
8. Kuilazimisha Ukreni imalize vita
9. Kutishia mataifa yanayotamani kujiunga na BRICS
10. Kutishia kujiondoa NATO, nk
Upande mmoja naona Trump yuko sawa na upande mwingine anqzingua sana kama ulivyosema tu mkuu kwa gharama yoyote yupo kwa ajili ya Marekani mpya.
 
Back
Top Bottom