- Thread starter
- #21
Trump ana madharau sana sasa hiyo ni Canada siku akituvalia junga sisi wadunia ya tatu wala hatauliza mtu.nayeye hamuiti PM anamuita Gavanaš anataka kuifanya Canada iwe jimbo la 51 la yuesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump ana madharau sana sasa hiyo ni Canada siku akituvalia junga sisi wadunia ya tatu wala hatauliza mtu.nayeye hamuiti PM anamuita Gavanaš anataka kuifanya Canada iwe jimbo la 51 la yuesi
Nasikia Amerika ndio walioitengeneza ila kilichomwuzi Trump nikuona Mchina ndio anafaidika nayo sana kuliko USA.Gulf of Mexico ya miaka na miaka anataka iwe Gulf of America
Na inaonekana waliomzunguuka wote ni watu wa ndio mzee.Trump ni Populist na egomaniac.., na chakula anachoserve ni kwa raia wa USA ambao walimpigia KURA (Make America Great Again) vilevile yeye na oligarchs wengine kujipatia Pesa za madili ya hapa na pale...
Hivyo chochote anachosema kiwe kweli, uongo, kinawezekana au hakiwezekani au hata kama ni detrimental kwa USA ya kesho yeye hajali yeye anachojali ni now (jinsi ya ku make news) na watu wake kuona kwamba ni mbabe...
Baniani Mbaya Kiatu chake Dawa..., wanaelewa wakiwa chawa wake Tender za hapa na pale na Tax Breaks za kufa mtu wanaweza kuzipata...; Chawa hawa Marekani wanaishi sio Afrika pekee...Na inaonekana waliomzunguuka wote ni watu wa ndio mzee.
Trump lakini hamuwezi mchina maana china wapo kila sehemu kibiashara na yeye yupo kila sehemu kivita na majeshiNasikia Amerika ndio walioitengeneza ila kilichomwuzi Trump nikuona Mchina ndio anafaidika nayo sana kuliko USA.
Trump hana habari na Afrika. juzi alikuwa anashangaa kama kuna nchi hapa duniani inaitwa Lesotho š¤£Trump ana madharau sana sasa hiyo ni Canada siku akituvalia junga sisi wadunia ya tatu wala hatauliza mtu.
Kwa Trump hata hilo halishangazi anaweza kuwa hata Tanzania haijuwi šTrump hana habari na Afrika. juzi alikuwa anashangaa kama kuna nchi hapa duniani inaitwa Lesotho š¤£
Trump kaja kibabe sana term hii na ukizingatia kuwa hii ni term yake ya pili na ya mwisho hana cha kuhofia.Trump lakini hamuwezi mchina maana china wapo kila sehemu kibiashara na yeye yupo kila sehemu kivita na majeshi
Mchina anamfanya Trump asilale š
Mwaka 1881 france ndio wqlianzisha mradi huo wa Panama Canal
1889 wafaransa wakafeli wakashindwa kuuendeleza ndio US mwaka 1904 wakaendeleza ujenzi mpaka kwisha mwaka 1914
Sasa Trump anaitaka hata kwa vita
Na wakiwa Chawa wanakuwa Chawa kweli kweli šBaniani Mbaya Kiatu chake Dawa..., wanaelewa wakiwa chawa wake Tender za hapa na pale na Tax Breaks za kufa mtu wanaweza kuzipata...; Chawa hawa Marekani wanaishi sio Afrika pekee...
Na anamkibiza haswa mpaka atapike damušMchina anamtesa sasa hivi!
Safi urusi,China na washirika wao wanabariki uvamizi wa Urusi nchini Ukreine basi wacha Us nae ajimegee ndivyo dunia ilipofikia.Pia kuichukua Greenland na mfereji wa Panama kwa ajili ya kumkomoa Mchina š³
Kweli mwenye nguvu mpishe šSafi urusi,China na washirika wao wanabariki uvamizi wa Urusi nchini Ukreine basi wacha Us nae ajimegee ndivyo dunia ilipofikia.
Trump anatafuta fursa, kila akiona opportunity tu anajaribuTrump kaja kibabe sana term hii na ukizingatia kuwa hii ni term yake ya pili na ya mwisho hana cha kuhofia.
Tesla si ya mshikaji wake na mshauri wake mkuu wa masuala ya biashara na uchumi kwa jumla š³Trump anatafuta fursa, kila akiona opportunity tu anajaribu
Sasa kaona Tesla imeshuka sana anatamani kuinunua
Kweli mzee anaangalia pale padhaifu tu
Lengo lake Ni MAGA make Amerika great again.Maana yake nyorosha Bongo lala wote neemesha Amerika na Waamerika.Heshima kwenu nyote wana jamii forum. Nimekuwa nikifuatilia matakwa na makusudio ya rais Trump toka aingie madarakani, matamanio yake yamekuwa yakiniachia maswali ya kujiuliza pamoja na kwamba hata walengwa wake wamekuwa wakimtolea nje.
Mfano alianza na kutaka kuinunua Gaza,ikafuatiwa na kutaka madini ya Ukrein na sasa analenga kuchukua madini ya DRC kwa kuingia nao mkataba kama ule wa Ukrein.
Karibuni tuelimishane kwa kina zaidi.
Nisamehe bure niliona habari ya haraka haraka kuwa Trump anunua TeslaTesla si ya mshikaji wake na mshauri wake mkuu wa masuala ya biashara na uchumi kwa jumla š³
Trump yuko kimasilahi zaidiNisamehe bure niliona habari ya haraka haraka kuwa Trump anunua Tesla
Kumbe kanunua moja kumsapoti mshkaji š¤
Mbona atatunyorosha akiona mali inayomfaa na amerika yake lazima ainyatie.Lengo lake Ni MAGA make Amerika great again.Maana yake nyorosha Bongo lala wote neemesha Amerika na Waamerika.