Unatumia simu gani? Samahani kuuliza,Bos hadi nimefanya factory reset simu yangu ndo yamepungua sio kuisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu mteja wa TALA tumia Busara kurudisha mkopo uliochukua kama sisi tulivyotumia Busara tukakusaidia pindi ulipohitaji mkopo,kumbuka Tala tunafanya kazi na taasisi mbalimbali ili kuweza kuwashika wote wanaokaidi kulipa mikopo yao ila tunatumia Busara tu kukumbusha kila siku lipa deni lako LEO kwani makubaliano yako na Tala ni kulipa mkopo ndani ya mwezi mmoja lakini paka sasa upo nje ya muda.Nilikaa na deni yule mkaka akanipigia kuniuliza nitalipa lini deni lao.
Nikamwambia hapa niliko niko Airport naenda Uk.
Na namba nabadili, labda nikirudi.
Ila sie wakopaji samtaim jeuri sana tupatapo mkopo
Unatumia simu gani? Samahani kuuliza,
Ndugu mteja wa TALA tumia Busara kurudisha mkopo uliochukua kama sisi tulivyotumia Busara tukakusaidia pindi ulipohitaji mkopo,kumbuka Tala tunafanya kazi na taasisi mbalimbali ili kuweza kuwashika wote wanaokaidi kulipa mikopo yao ila tunatumia Busara tu kukumbusha kila siku lipa deni lako LEO kwani makubaliano yako na Tala ni kulipa mkopo ndani ya mwezi mmoja lakini paka sasa upo nje ya muda.
NB:kampuni no.tigo 888000..voda 888111
Sent using Jamii Forums mobile app
niko poa kabisa.... hofu ilikuwa kwako tu maana hatujakutana kwenye hizi chochoro tangu mwaka uanze
Ulipo install ulisoma user agreement?Nipo kwenye mkakati wa kuyafungulia mashtaka haya makampuni mawili ya Fedha kwa kuniibia MB bila ridhaa yangu maana kila nikiwasha data, wananijazia matangazo yao tena yana-play automatic hivyo kula MB
nipo katika mkakati wa kutafuta mwanasheria.
MLIO KARIBU NAO WAFIKISHIENI SALAMU ZANGU.
Nadhani ulipotea weweniko poa kabisa.... hofu ilikuwa kwako tu maana hatujakutana kwenye hizi chochoro tangu mwaka uanze
Sent using Jamii Forums mobile app
magari bei poa na kupatanaKati ya hizi APPS ipi inaweza kuwa tatizoView attachment 995629View attachment 995630View attachment 995632
Sent using Jamii Forums mobile app
pia angalia kwenye application manager kama kuna application yoyote ile unayoiona ukui install...lakini ipo in background
pia angalia kwenye application manager kama kuna application yoyote ile unayoiona ukui install...lakini ipo in background
Washtaki Google ndiyo wanaoweka matangazo hayo kwenye simu yako ya Android. Tala na Branch wanalipia kutangaziwa biashara zaoNipo kwenye mkakati wa kuyafungulia mashtaka haya makampuni mawili ya Fedha kwa kuniibia MB bila ridhaa yangu maana kila nikiwasha data, wananijazia matangazo yao tena yana-play automatic hivyo kula MB
nipo katika mkakati wa kutafuta mwanasheria.
MLIO KARIBU NAO WAFIKISHIENI SALAMU ZANGU.
Washtaki Google ndiyo wanaoweka matangazo hayo kwenye simu yako ya Android. Tala na Branch wanalipia kutangaziwa biashara zao