Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
HivohivoNdugu mteja wa TALA tumia Busara kurudisha mkopo uliochukua kama sisi tulivyotumia Busara tukakusaidia pindi ulipohitaji mkopo,kumbuka Tala tunafanya kazi na taasisi mbalimbali ili kuweza kuwashika wote wanaokaidi kulipa mikopo yao ila tunatumia Busara tu kukumbusha kila siku lipa deni lako LEO kwani makubaliano yako na Tala ni kulipa mkopo ndani ya mwezi mmoja lakini paka sasa upo nje ya muda.
NB:kampuni no.tigo 888000..voda 888111
Sent using Jamii Forums mobile app