NIA YA KUWASHTAKI TALA NA BRANCH TANZANIA

NIA YA KUWASHTAKI TALA NA BRANCH TANZANIA

Ndugu mteja wa TALA tumia Busara kurudisha mkopo uliochukua kama sisi tulivyotumia Busara tukakusaidia pindi ulipohitaji mkopo,kumbuka Tala tunafanya kazi na taasisi mbalimbali ili kuweza kuwashika wote wanaokaidi kulipa mikopo yao ila tunatumia Busara tu kukumbusha kila siku lipa deni lako LEO kwani makubaliano yako na Tala ni kulipa mkopo ndani ya mwezi mmoja lakini paka sasa upo nje ya muda.
NB:kampuni no.tigo 888000..voda 888111

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivohivo
 
Hizo app za bure mnazofakamia zina masharti ya kupata matangazo. Kama hukujua maana ya vigezo na masharti kuzingatiwa ndo hivyo, kawashtaki uone kama hujatolewa kwa knockout! Hata jamiiforums wapendwa vya bure matangazo hujaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kulipa deni ni wajibu wako lakini haukamilishi licha ya kukumbushwa kila wakati kuhusu malipo, kitengo cha madeni tumepewa idhini ya kukuchukulia hatua dhidi yako. Jina lako lipo kwenye list ya wadaiwa SUGU na wadanganyifu wa mtandaoni waliovunja kanuni na mkataba dhidi ya kampuni. Sio kukutangaza pekee tayari mamlaka husika ishapokea taarifa zako utawajibika kwa mujibu wa sheria. Malipo yafanyike TALA TANZANIA..LIPA LEO..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom