NIA YA KUWASHTAKI TALA NA BRANCH TANZANIA

Hivohivo
 
Haya yatafahamika mbele ya Pilato. Na wewe uje kuwa shahidi upande wa washtakiwa[emoji34]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wa [emoji34] kachemshe mawe utegemee yalainike na kuwa kama viazi.. Naona una hela za mchezo mno, hiyo gharama ya mwanasheria sidhani kama inafika idadi ya Mb ulizopoteza kisa hilo tangazo hata kwa nusu
 
Hizo app za bure mnazofakamia zina masharti ya kupata matangazo. Kama hukujua maana ya vigezo na masharti kuzingatiwa ndo hivyo, kawashtaki uone kama hujatolewa kwa knockout! Hata jamiiforums wapendwa vya bure matangazo hujaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kulipa deni ni wajibu wako lakini haukamilishi licha ya kukumbushwa kila wakati kuhusu malipo, kitengo cha madeni tumepewa idhini ya kukuchukulia hatua dhidi yako. Jina lako lipo kwenye list ya wadaiwa SUGU na wadanganyifu wa mtandaoni waliovunja kanuni na mkataba dhidi ya kampuni. Sio kukutangaza pekee tayari mamlaka husika ishapokea taarifa zako utawajibika kwa mujibu wa sheria. Malipo yafanyike TALA TANZANIA..LIPA LEO..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…