nia ya lisu ni kwenda ccm ili kujisafisha ana mshambulua mbowe

nia ya lisu ni kwenda ccm ili kujisafisha ana mshambulua mbowe

strongest

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2024
Posts
343
Reaction score
1,562
kinachokuja kutokea ni lissu kwenda CCM au ACT
.
ila kwasabau kuna mkasa wa kupigwa risasi atasema alipiga ni wana chadema
 
Bila mwamba DJ Mbowe Lissu saa hizi angekuwa shimo la Tewa !!
 
tunahitaji chama imara cyo legelege km dj mbowe.lisu anatufaa.nilipoteza imani na dj mbowe tangu amkaribishe luwasa
 
kinachokuja kutokea ni lissu kwenda CCM au ACT
.
ila kwasabau kuna mkasa wa kupigwa risasi atasema alipiga ni wana chadema
Uhamuzi ni wake na maisha yake mkuu, siasa za Tz sio za kuziamini sana utakuwa mwehu!!
 
Hata kama mkisema anafanya tifu ili atimkie ccm poa tu, siasa ndivyo zilivyo. Wanasiasa wa tanzania wana style yao ya kufanya siasa kulingana na exposure zao kwa wananchi. Kama Lissu ataenda CCM fresh tu, huo ndio mtindo wa wanasiasa kuhamahama vyama kwa maslahi yao binafsi
 
Lissu inaonekana nyuma yake kuna Mbowe siyo bure. wanasiasa ni wajanja sana. wanajua wanachokifanya sidhani kama Mbowe ana nia ya kugombea so far uchaguzi uliopita aliombwa na wanachama safari hii atakataaa. wacha tuone.
 
Back
Top Bottom