Jumlisha
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,239
- 2,765
atakuwa chokoraa wa asiašSidhani kama gharama hiyo itamtosha kuja kutafuta kazi...! Ina maana ata lala kwenye ndege Kisha arudi na ndege iliyo mleta...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakuwa chokoraa wa asiašSidhani kama gharama hiyo itamtosha kuja kutafuta kazi...! Ina maana ata lala kwenye ndege Kisha arudi na ndege iliyo mleta...?
Dhahabu gram moja inasimamia sh.ngapi huko,Karibu tuwasiliane kupitia +971581480619
Sijawahi kutembelea soko la dhahabu...!Dhahabu gram moja inasimamia sh.ngapi huko,
Huku akuna ubaguzi wowote...!Vp suala la ubaguzi wa rangi & dini?
Hongera Sana mkuu wewe ni hustler kweli
Kutoka kutamani kuwa Askari police
Kutoka kuwa mlinzi
Kutoka kutamani kuwa mwandishi wa habari.
Na Leo sasa un-chase dreams za kuwa mfanyabiashara mkubwa hongera Sana
Keep hustle on.
Vipi wanawake wa kiarabu wanapatikana?
Doh.. nimepatamani. Hongera
You're welcome š š šNtakutafuta
Dogo acha kudangaya watu, na hilo joto ni lizuri pia?View attachment 2994867
Huku Kila sehemu ni pazuri š¤£š¤£š¤£
Unakaa kwenye joto ili upate nini sasa...?Dogo acha kudangaya watu, na hilo joto ni lizuri pia?
Thank you...I will never give up...!Keep fighting
Hata mzungu kupata shida mkuu?Hamna kitu kama icho warabu wanatuchukulia sisi wa Africa kama watumwa sasa mtumwa awezi kugusa mali ya mtwana hata kidogo na ukionekana una mbughuzi mwanamke faini yake huku ni zaidi ya 3 million ya papo kwa hapo harafu ndio wanaangalia uzito wa kosa kama wakufunge au wakurudishe kwenu...!