X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #121
Dah.! hii imekaa poa sana.. Dhahabu kwenye ATM [emoji119][emoji119]
Je ulikuwa tayari una mwenyeji wako huko? Manake mtu akitoka hapa sio afike Airport aanze kuzurura huko dubai, yani mfano kafikq hapa bongo aanze kuzurura mara kipawa, jet, machimbo, gongs, vingunguti 🤣🤣Nilifanya utafiti nikagundua zama za kutegemea maagent kwenye utandawazi wa kitechnolojia zimepitwa na wakati. Nilisubiri miaka 4 bila mafanikio kwa kutegemea agents.
Ili ufanikiwe ni lazima uwe na pesa hata hao maagent ni lazima utawalipa...hakuna agent atakae kusaidia Bure.
Mimi nilijipanga Nika tafuta pesa zangu mwenyewe...
Nikakata visa.. agent nilimtumia airfox safari walisimamia visa na ticket...ndege nilitumia air TanzaniA...!
Ajira nchi za falme za kiarabu zipo...ajira ni nyingi mno ila lazima utulize kichwa...! Dubai mwanamke kukutongoza ni jambo LA kawaida sana...ukiingia kichwa kichwa visa inaisha muda ukiwa hujapata chochote...!View attachment 2990343
Mimi sikuwa na mwenyeji ila Mungu akunitupa...nilipata ndugu hukuJe ulikuwa tayari una mwenyeji wako huko? Manake mtu akitoka hapa sio afike Airport aanze kuzurura huko dubai, yani mfano kafikq hapa bongo aanze kuzurura mara kipawa, jet, machimbo, gongs, vingunguti 🤣🤣
JabbzbbajjaDah.! hii imekaa poa sana.. Dhahabu kwenye ATM
Mimi sikuwa na mwenyeji ila Mungu akunitupa...nilipata ndugu huku
Kaka mimi niko na swali nahitaji unisaidie majibu yake kama itawezekana,niko nampangi wakuja dubai soon kutafuta maisha,sasa kuna mtu aliniambia kua huko dubai kuna sehemu ambayo unaweza kupata nyumba za bei rahisi ambazo unaweza ukapanga yani ziko kama hostel unakuta kuna kitanda na godoro wewe unaenda na begi lako tu then kwenye chumba kimoja mnaweza mkawa mnashea watu watatu au wanne inategemea na hio hotel jinsi ilivyo then unalipia kama ni mwezi mmoja au miwili alafu unaishi hapo,sasa nilikua nahitaji kujua kuhusu hizo nyumba zinapopatikana maeneo gani au katika mji gani pia na usalama wake kiujumla maana kwenda kukaa room moja na watu ambao hamjuani mmekutana tu kwa mara ya kwanza nayo ni tatizo .Mimi sikuwa na mwenyeji ila Mungu akunitupa...nilipata ndugu huku
Jabbzbbajja
Kaka mimi niko na swali nahitaji unisaidie majibu yake kama itawezekana,niko nampangi wakuja dubai soon kutafuta maisha,sasa kuna mtu aliniambia kua huko dubai kuna sehemu ambayo unaweza kupata nyumba za bei rahisi ambazo unaweza ukapanga yani ziko kama hostel unakuta kuna kitanda na godoro wewe unaenda na begi lako tu then kwenye chumba kimoja mnaweza mkawa mnashea watu watatu au wanne inategemea na hio hotel jinsi ilivyo then unalipia kama ni mwezi mmoja au miwili alafu unaishi hapo,sasa nilikua nahitaji kujua kuhusu hizo nyumba zinapopatikana maeneo gani au katika mji gani pia na usalama wake kiujumla maana kwenda kukaa room moja na watu ambao hamjuani mmekutana tu kwa mara ya kwanza nayo ni tatizo .
Bado uko huko au ushayarudishaView attachment 2994867
Huku Kila sehemu ni pazuri 🤣🤣🤣
nunu huko huko mkuu...Kaka inahitajika Note10 plus haraka iwezekanavyo.. laki mbili ipo
Kaka npe bei elekezi, jns ya kulipa na napokeaje mzgonunu huko huko mkuu...
Mkuu mbona ameshakujibu kwamba nunua tu huko huko ulipo, tafsiri yake haiwezekani. Sasa kipi usichoelewa hapo Shehe wetu!?Kaka km mission haiwezekana niambie, nimeazima simu na ww haujb unalike pekee.. sasa nikuelewaje
Pengine alijibu hivyo kulingana na offer niliyoitoa awali.. nimeomba anipe price halisi na jinsi ya kutuma lakini majibu sipati..Mkuu mbona ameshakujibu kwamba nunua tu huko huko ulipo, tafsiri yake haiwezekani. Sasa kipi usichoelewa hapo Shehe wetu!?
Basi msubiri pengine atakuja kukupa majibu mkuuPengine alijibu hivyo kulingana na offer niliyoitoa awali.. nimeomba anipe price halisi na jinsi ya kutuma lakini majibu sipati..