Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Weka picha mkuu na bei yako hapa kama utojali!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka picha mkuu na bei yako hapa kama utojali!
Weka picha mkuu na bei yako hapa kama utojali!
Weka picha mkuu na bei yako hapa kama utojali!
Weka picha mkuu na bei yako hapa kama utojali!
Leta gari za bei hizo ulizoziona huko mtandaoni wadau wakuchambulie uamuzi ubaki kwako.Wakuu msaada wa selection ya gari nzuri (based on muonekano, economy na performance) bajeti 14 - 17 mwisho. Gari kwa ajili ya route tu mitaani na trip tatu/nne kwa mwaka za dar mwanza.
My suggestion ilikua toyota auris au blade… napokea na ushauri kwa magari hayo!
Year:2012
Transmission:Automatic
Engine capacity:Cc 2694
4 cylinders
Fuel consumption:City driving 10km/L
Highway driving 12km/L
Price:40,000,000View attachment 2406115
Mkuu bajeti yako ya 17M imetosha kuagiza hii gari?Feedback!
Nlihamua kuhamia kwenye subaru forester XT 2009, nmeshagiza na bforward naisubiria now. Asanteni kwa ushauriView attachment 2446731
View attachment 2446732
Nauza ist nimeagiza mwaka jana...
Km 48000 now
Interested inbox
View attachment 2446837
Bei gani chief kuna wengine ni wazito kumfuata mtu inbox wanahisi kupigwa ni bora ukaweka vitu hadharani
Hongera, fanya mpango tufanye clearing ya chuma yako hii tukukabidhi ikiwa tayari usajili na plate no.Feedback!
Nlihamua kuhamia kwenye subaru forester XT 2009, nmeshagiza na bforward naisubiria now. Asanteni kwa ushauriView attachment 2446731
View attachment 2446732
Njoo inbox babu
22mVW tiguan
VW tiguan