RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Leo nimebahatika kuangalia video ya huu wimbo, niambie. Nikisikiliza maneno nasikia umenipendea nini ingali sina dough(pesa). Mara mangi asije kukudanganya na kilo ya unga. Sina kazi hata senti tano kipande.
Sasa najiuliza mtu gani ana shida anaishi maisha ya kwenye hio video? Hayo magari,majumba kweli ni maisha ya mtu asie na hela? Anapoteza muda kwa kucheza tennis, hio racket ya tennis masikini hawezi kununua achilia mbali membership ya tennis club! Mwanamke unaeishi nae humo akiliwa na muuza genge sio kwasababu ya pesa.
Haya ndio mambo ya bongo movie jambazi anavua viatu mlangoni. Hamna washauri au ndio wamekariri video lazima iwe na nyumba na magari mazuri?
Sasa najiuliza mtu gani ana shida anaishi maisha ya kwenye hio video? Hayo magari,majumba kweli ni maisha ya mtu asie na hela? Anapoteza muda kwa kucheza tennis, hio racket ya tennis masikini hawezi kununua achilia mbali membership ya tennis club! Mwanamke unaeishi nae humo akiliwa na muuza genge sio kwasababu ya pesa.
Haya ndio mambo ya bongo movie jambazi anavua viatu mlangoni. Hamna washauri au ndio wamekariri video lazima iwe na nyumba na magari mazuri?